Pluijm atamba kurudisha ubora wa Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mholanzi Hans van Der Pluijm, ameeleza kuwa amerejea kwenye timu hiyo kurudisha ubora wa awali wa kikosi hicho aliouacha, huku akipanga kuendeleza falsafa yake ya soka la kushambulia.
Pluijm, aliyetua nchini majira ya saa 8.30 usiku wa kuamkia jana, amekuja kurithi mikoba ya Mbrazil Marcio Maximo, aliyetimuliwa kuinoa Yanga juzi, ambapo sasa inakuwa mara yake ya pili kukinoa kikosi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 May
Pluijm atamba Yanga kuweka historia kwa Etoile du Sahel
NA JUMA KASESA, TUNISIA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Plujim, ameapa kuiandikia historia timu hiyo kwa kuitoa timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa awali uliopigwa jijini Dar es Salaam wiki mbili zilizopita, leo inavaana na timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza utakaofanyika katika Uwanja wa Olimpique de Sousse utakaoanza saa 3 usiku kwa saa za Afrika...
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Pluijm: Ninaamini kwenye ubora
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema hafikirii kuwa kupata mabao mengi katika mechi ndiyo kufanya vizuri, yeye anachokiangalia na kukiamini katika kikosi chake ni ubora, hata kama watashinda moja kila mechi.
Yanga ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi uliyochezwa juzi Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm...
9 years ago
Habarileo22 Sep
Kerr atamba Yanga hawatachomoka
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema amefurahishwa na matokeo mazuri katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar na kutuma salamu Yanga kuwa anaifahamu hivyo hawatachomoka katika mchezo ujao.
9 years ago
Habarileo05 Nov
Pluijm: Yanga bingwa
KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.
10 years ago
Mtanzania28 May
Pluijm ashtuka Yanga
JENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WAKATI klabu ya Yanga ikiendelea kusajili nyota wake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo Mholanzi, Hans Van der Pluijm, amewashtukia viongozi wa timu hiyo akieleza anahisi baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hadi sasa hakuwapendekeza katika ripoti yake.
Klabu hiyo hadi sasa imefanikiwa kupata saini za wachezaji watatu ambao ni Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City, Haji Mwinyi wa Zanzibar na Benedicto Tinoco kutoka Kagera...
10 years ago
Mtanzania21 May
Pluijm: Sitaki mazoea Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema hataki kuwa na kikosi cha mazoea, hivyo wachezaji atakaowatema wanatakiwa kujifunza na kujifua upya ili aweze kuwarudisha tena kuitumikia klabu hiyo kipindi cha dirisha dogo.
Wachezaji wazawa wanaotajwa kupitiwa na panga la kuachwa ni Jerryson Tegete, Danny Mrwanda, Husein Javu, Said Bahanuzi, Nizar Khalfan, Omega Seme, Alphonce Matogo na Hamis Thabiti.
Pia huenda ikawatema wachezaji wake wa kigeni,...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Pluijm achoka na uteja Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, amesema kama ataendelea kukinoa kikosi hicho, anaamini atafuta uteja wa kufungwa na watani wao wa jadi, Simba, ambao mara yao ya mwisho kuwafunga katika ligi ilikuwa msimu wa 2012/ 2013.
Yanga, ikiwa inanolewa na kocha Mholanzi, Ernest Brandts, iliibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba Mei 19, 2013, huku Wanajangwani hao wakiweza kuibuka mabingwa wa msimu huo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, baada ya kufungwa bao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YgYdeQ2zeoweCktjpL6wYARUDbvnErMMfuGmdSnMqmFFTZxLIDgVNHHeTI8mOl2733y4mAgERHlU3oIdE0X8q7t/2.gif?width=650)
Pluijm aacha kazi Yanga
9 years ago
Habarileo02 Oct
Pluijm atoboa siri Yanga
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema siri kubwa ya kikosi chake kufanikiwa kuvunja mwiko wa kuifunga Mtibwa Sugar ilitokana na wachezaji wake kucheza kwa nidhamu ya kiufundi.