Pluijm aacha kazi Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YgYdeQ2zeoweCktjpL6wYARUDbvnErMMfuGmdSnMqmFFTZxLIDgVNHHeTI8mOl2733y4mAgERHlU3oIdE0X8q7t/2.gif?width=650)
Kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Wilbert Molandi KOCHA Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameacha kazi katika klabu hiyo. Pluijm ameondoka nchini jana kwenda Saudi Arabia, Mashariki ya Kati barani Asia ambako ataingia mkataba wa kuinoa Klabu ya Al Shoala na atakuwa akilipwa dola 20,000 (Sh milioni 32) kwa mwezi wakati Yanga ilikuwa ikimlipa dola 11,000 (Sh milioni 18) kwa mwezi. Pluijm alitua Yanga miezi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Hakimu Karagwe aacha kazi ghafla
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Hakimu wa Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, Peter Matete, ameacha kazi ghafla, huku akikwepa kutaja sababu ya hatua hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kayanga,...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-u6IVgJApmLM/Us52FSuvzoI/AAAAAAAApXo/lCIMDjiKrwI/s1600/rogers_mulindwa_bobby.jpg?width=640)
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Brazil:Luiz Felipe Scolari aacha kazi
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Amokachi aacha kazi baada ya wiki tano
10 years ago
Bongo518 Aug
Picha: Maulid Kitenge aacha kazi Radio One na kujiunga na EFM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNSwrW0J6sPTEXvNMkPxiIpqJKhXb4Po4nO29c*3nSyLIKm80rofZXWah0b0oMqtgLRzO6PTsD*no7w06i5OR7TN/YANGAA.gif?width=650)
Pluijm kufanya kazi na Maximo
9 years ago
Habarileo05 Nov
Pluijm: Yanga bingwa
KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.
10 years ago
Mtanzania28 May
Pluijm ashtuka Yanga
JENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WAKATI klabu ya Yanga ikiendelea kusajili nyota wake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo Mholanzi, Hans Van der Pluijm, amewashtukia viongozi wa timu hiyo akieleza anahisi baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hadi sasa hakuwapendekeza katika ripoti yake.
Klabu hiyo hadi sasa imefanikiwa kupata saini za wachezaji watatu ambao ni Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City, Haji Mwinyi wa Zanzibar na Benedicto Tinoco kutoka Kagera...
11 years ago
Mwananchi27 May
Pluijm adai mshahara Yanga