Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm kufanya kazi na Maximo

Hans Van der Pluijm.
Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umesema kuwa usajili wa Kocha Mbrazili, Marcio Maximo lazima ufanywe kwa kutumia ripoti ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mholanzi, Hans van Der Pluijm.
Mbrazili huyo anatarajiwa kutua siku yoyote kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kinachotarajiwa kushiriki Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Pluijm in, Maximo out at Yanga

>Former Young Africans head coach Johannes Franciscus, well known in Dar soccer circles  as ‘Hans’ Van der Pluijm has arrived in the country to discuss a deal with the Jangwani club.

 

11 years ago

GPL

Maximo ampiga bao Pluijm Yanga

Kocha Marcio Maximo. Hans Mloli na Khadija Mngwai
KOCHA Hans van Der Pluijm aliondoka Yanga na kuacha ripoti ya nini kifanyike ili kuimarisha kikosi cha timu hiyo, lakini uongozi wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauwezi kufanya usajili bila ruhusa ya kocha ajaye klabuni hapo, Marcio Maximo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo aanzia kazi ufukweni

KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...

 

11 years ago

GPL

VAN DER PLUIJM AJA KESHO KUFANYA MAZUNGUMZO NA YANGA

Kocha Johannes Franciscus ‘Hans’ van der Pluijm. KLABU ya Yanga SC imemualika kwa mazungumzo, kocha ‘babu’, Johannes Franciscus ‘Hans’ van der Pluijm, aliyewahi kuifundisha Berekum Chelsea ya Ghana, ambaye anaweza kutua Dar es Salaam kesho iwapo atafanikiwa kupata ndege. Hakuna nafasi katika ndege za kutoka Ghana kuja Dar es Salaam na babu huyo anahaha kutafuta ndege ya kuunganisha na kama...

 

10 years ago

Bongo Movies

KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker

Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya  Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.

Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.

Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...

 

11 years ago

GPL

MAXIMO AZUNGUMZA, KUANZA KAZI JUMATATU

Kocha Marcio Maximo akiongea na wanahabari (hawapo pichani) leo katika klabu ya Yanga. Kocha Marcio Maximo(katikati) akiwa na Kocha msadizi wake pia ni Mbrazili, Leornado Leiva Martins (kulia).…

 

11 years ago

GPL

Pluijm aacha kazi Yanga

Kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameacha kazi katika klabu hiyo.
Pluijm ameondoka nchini jana kwenda Saudi Arabia, Mashariki ya Kati barani Asia ambako ataingia mkataba wa kuinoa Klabu ya Al Shoala na atakuwa akilipwa dola 20,000 (Sh milioni 32) kwa mwezi wakati Yanga ilikuwa ikimlipa dola 11,000 (Sh milioni 18) kwa mwezi.
Pluijm alitua Yanga miezi...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo

Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen  “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;

“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.

Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.

Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Iwezekane kunyonyesha na kufanya kazi

MAADHIMISHO ya Wiki ya Unyonyeshaji yanaanza kesho yakiwa na kaulimbiu ‘unyonyeshaji na kazi, hakikisha inawezekana.’

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, maadhimisho haya yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhakikisha afya ya mtoto inaboreshwa.

Kimsingi ni jukumu la mama kuhakikisha ustawi wa mtoto kwa kumpa haki yake ya kunyonya maziwa yake, tena kikamilifu.

Hili linatokana na ukweli kuwa, maziwa ya mama yana vitamini na virutubisho muhimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani