Pluijm kufanya kazi na Maximo
![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNSwrW0J6sPTEXvNMkPxiIpqJKhXb4Po4nO29c*3nSyLIKm80rofZXWah0b0oMqtgLRzO6PTsD*no7w06i5OR7TN/YANGAA.gif?width=650)
Hans Van der Pluijm. Na Wilbert Molandi UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umesema kuwa usajili wa Kocha Mbrazili, Marcio Maximo lazima ufanywe kwa kutumia ripoti ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Mbrazili huyo anatarajiwa kutua siku yoyote kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kinachotarajiwa kushiriki Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen17 Dec
SOCCER: Pluijm in, Maximo out at Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO5-kVx0ekdAKWM1Qth7qfxYdNnmMwn1oViPJzCX0eNstwWB0ZK*GBru9w9elGtN7q-CZ8-MLYjURPRVhLNV0Hsw/MAXMO.gif?width=650)
Maximo ampiga bao Pluijm Yanga
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Maximo aanzia kazi ufukweni
KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IclfxGLxiOAerAy-PZTrOBCrBQqweDQGwA6ylU29zEHNbQUcAdSzMhLmCDfn3zoVr0u7ORTdxkZuQ4GaGBNH*7Fj/HansVanderPluijm.jpg?width=650)
VAN DER PLUIJM AJA KESHO KUFANYA MAZUNGUMZO NA YANGA
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
11 years ago
GPLMAXIMO AZUNGUMZA, KUANZA KAZI JUMATATU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YgYdeQ2zeoweCktjpL6wYARUDbvnErMMfuGmdSnMqmFFTZxLIDgVNHHeTI8mOl2733y4mAgERHlU3oIdE0X8q7t/2.gif?width=650)
Pluijm aacha kazi Yanga
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo
Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;
“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.
Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.
Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Iwezekane kunyonyesha na kufanya kazi
MAADHIMISHO ya Wiki ya Unyonyeshaji yanaanza kesho yakiwa na kaulimbiu ‘unyonyeshaji na kazi, hakikisha inawezekana.’
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, maadhimisho haya yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhakikisha afya ya mtoto inaboreshwa.
Kimsingi ni jukumu la mama kuhakikisha ustawi wa mtoto kwa kumpa haki yake ya kunyonya maziwa yake, tena kikamilifu.
Hili linatokana na ukweli kuwa, maziwa ya mama yana vitamini na virutubisho muhimu...