KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
ZAMARADI: Nategemea kazi bora kutoka kwa Wema na Van Vicker
Mtangazaji na wa kipindi cha television cha maswala ya filamu,TAKEONE, kinachorusha na kituo cha CloudsTV, Zamaradi Mtetema baada ya hivi majuzi kutoa maoni yake juu ya tasnia hii ya filamu hapa nchini[SOMA HAPA], ambayo yaliozua mjadala mrefu miongoni mwawadau wa tasnia hii.
Leo ameibuka na kuonekana kuwa mwenye shauku kubwa na matumaini makubwa ya kazi anayoifanya muigizaji Wema Sepetu huko nchini Ghana. Zamaradi kupitia ukurasa wake aliandika;
Baada ya kuandika hivyo mashabiki wengi...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
VAN VICKER :Tumefanya Kazi Na Kucheza Kama Marafiki
Muigizaji na muongozaji wa filamu Van Vicker kutoka Ghana, ameonyesha kufurahishwa na jinsi alivyofanya kazi na muigizaji Wema Sepetu kutoka Tanzania. Akieleza kupitia mtandaoni Van Vicker alieleza kuwa ni heshma kwake kufanya kazi na Wema na wamefanya kazi kama marafiki, baada ya kuweka picha hiyo aliandika;
"Fun time Baby! We work and play at the same time. Working as colleagues is not the same as working as FRIENDS. I am honored”
Wema na Van Vicker ndio wahusika wa kuu kwenye...
10 years ago
Bongo505 Feb
Muigizaji Van Vicker wa Ghana aamua kuingia kwenye muziki
10 years ago
CloudsFM10 Dec
WEMA AFANYA MOVIE NA VAN VICKER
Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu amesafiri kuelekea nchini Ghana kufanya filamu na mkali wa filamu nchini humo,Van Vicker filamu inaitwa Day After Death.Kupitia Instagram Van Vicker aliandika....Watch out for #DayAfterDeath (D.A.D) starring @wemasepetu and myself..#DirectorMode tanzania and ghana goin on the map for this award winning thriller.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Van Vicker, Wema Sepetu wakutana
9 years ago
GPLVAN VICKER KUMFANYIA SAPRAIZI WEMA
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
WEMA:Van Vicker Alichangia Niachane na Diamond
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kudai kuwa mwigizaji Van Vicker wa Ghana, alichania kwa kiasi flani, kupelekea aachane na aliekuwa mpenzi wake, Diamond.
Kwamujibu wa GPL,akizungumzia sababu za kumwagana na Diamond, alisema pamoja na sababu nyingine, Van Vicker alihusika kuwafanya wamwagane na mpenzi wake huyo waliyedumu kwenye penzi zito lililokuwa gumzo kila kona ya Bongo.
“Kuna vitu vingi vimechangia lakini Van pia amechangia, alianza ku-like picha zangu,...
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
Van Vicker Ashangazwa na Habari za Yeye na Wema
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ameshangazwa na vyombo vya habari za udaku za hapa Bongo, kwa kile ambacho kimelipotiwa kuhusu yeye na muigizaji Wema Sepetu.
Kwenye blogs na magazeti mbalimbali ya udaku hapa Bongo zilijaa habari za kuwa Wema na Van Vicker mbali kucheza movie kuna mambo mambo walifanya eti kwa sababu tu Wema ameachana na aliekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na hivyo alitaka kumrusha roho, kitu ambacho hakina ukweli wowote.
Kupitia ukurasa wake...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Baadhi ya picha za D.A.D, Wema na Van Vicker Mzigoni
Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya movie mpya ya mwigizaji Wema Sepetu “Madam”akishirikiana na wigizaji wa Ghana, Van Vicker inayoitwa Day After Death (D.A.D).
Madam ametua leo hapa Bongo akitokea nchini Ghana ambako kazi hii imefanyika kule.
Tusubiri mzigo wenyewe!!!.