Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAMARADI: Nategemea kazi bora kutoka kwa Wema na Van Vicker

Mtangazaji na wa kipindi cha television cha maswala ya filamu,TAKEONE, kinachorusha na kituo cha CloudsTV, Zamaradi Mtetema baada ya hivi majuzi kutoa maoni yake juu ya tasnia hii ya filamu hapa nchini[SOMA HAPA], ambayo yaliozua mjadala mrefu miongoni mwawadau wa tasnia hii.

Leo ameibuka na kuonekana kuwa mwenye shauku kubwa na matumaini makubwa ya kazi anayoifanya muigizaji Wema Sepetu huko nchini Ghana. Zamaradi kupitia ukurasa wake aliandika;

Zamaradi

Baada ya kuandika hivyo mashabiki wengi...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker

Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya  Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.

Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.

Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka

Meneja wa mwanadada wa filamu Wema Sepetu, Martin Kadinda ameelezea sababu ya kuchelewa kutoka kwa filamu ya ‘Day After Death’ iliyochezwa na Wema pamoja na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’. Martin amesema filamu hiyo ilikuwa itoke September mwaka huu lakini imeshindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. “Filamu mpaka sasa ipo tayari, lakini […]

 

10 years ago

CloudsFM

WEMA AFANYA MOVIE NA VAN VICKER

Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu amesafiri kuelekea nchini Ghana kufanya filamu na mkali wa filamu nchini humo,Van Vicker filamu inaitwa Day After Death.Kupitia Instagram Van Vicker aliandika....Watch out for #DayAfterDeath (D.A.D) starring @wemasepetu and myself..#DirectorMode tanzania and ghana goin on the map for this award winning thriller.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Vicker, Wema Sepetu wakutana

Kama ulibahatika kuona picha katika mitandao ya kijamii ikimwonyesha Miss Tanzania 2006 ambaye pia ni mwigizaji, Wema Sepetu akiwa na nyota wa filamu kutoka Ghana, Van Vicker wawili hao wapo katika matayarisho ya filamu mpya imedhibitishwa.

 

9 years ago

GPL

VAN VICKER KUMFANYIA SAPRAIZI WEMA


Wema Sepetu ‘Madam’, akiwa na muigizaji wa Ghana, Van Vicker. Stori:melda Mtema ZIKIWA zimesalia wiki kadhaa kabla ya kufanyika kwa sherehe ya bethidei ya muigizaji Wema Sepetu ‘Madam’, muigizaji wa Ghana, Van Vicker amesema amemuandalia zawadi ya ‘sapraizi’ mrembo huyo katika sherehe yake hiyo muhimu.
Akifunguka hayo kupitia katika akaunti yake ya Instagram, Van alimtakia Wema heri ya siku yake ya kuzaliwa kisha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Van Vicker Ashangazwa na Habari za Yeye na Wema

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ameshangazwa na vyombo vya habari za udaku za hapa Bongo, kwa kile ambacho kimelipotiwa kuhusu yeye na muigizaji Wema Sepetu.

Kwenye blogs na magazeti mbalimbali ya udaku hapa Bongo zilijaa habari za kuwa Wema na Van Vicker mbali kucheza movie kuna mambo mambo walifanya eti kwa sababu tu Wema ameachana na aliekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na hivyo alitaka kumrusha roho, kitu ambacho hakina ukweli wowote.

Kupitia ukurasa wake...

 

10 years ago

Bongo Movies

WEMA:Van Vicker Alichangia Niachane na Diamond

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kudai kuwa mwigizaji Van Vicker wa Ghana, alichania kwa kiasi flani, kupelekea aachane na aliekuwa mpenzi wake, Diamond.

Kwamujibu wa GPL,akizungumzia sababu za kumwagana na Diamond, alisema pamoja na sababu nyingine, Van Vicker alihusika kuwafanya wamwagane na mpenzi wake huyo waliyedumu kwenye penzi zito lililokuwa gumzo kila kona ya Bongo.

“Kuna vitu vingi vimechangia lakini Van pia amechangia, alianza ku-like picha zangu,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baadhi ya picha za D.A.D, Wema na Van Vicker Mzigoni

Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya movie mpya ya mwigizaji Wema Sepetu “Madam”akishirikiana na wigizaji wa Ghana, Van Vicker inayoitwa Day After Death (D.A.D).

Madam ametua leo hapa Bongo akitokea nchini Ghana ambako kazi hii imefanyika kule.

Tusubiri mzigo wenyewe!!!.

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: Wema Sinema Yako na Van Vicker Inatoka Lini?

Habari  Bongomovies, Kwanza kabisa nawapongeza kwa kutupa fursa  na sisi mashabiki wenu kuweza  kutoa yetu ya moyoni kuhusu tasnia yenu ya filamu.

Kwanza kabisa mimi ni mshabiki namba moja kabisa wa “madame” (Wema Sepetu) tangu akiwa Miss na alipoingia kwenye tasina ya filamu ndipo nimezidi kumpenda zaidi, nimekuwa ni moja kati ya followers wake kwenye mitandao yote ya kijamii na zaidi huwa sikosi ile show yake ya “In My Shoes” nimeanza hiyo ili niweze kueleweka vizuri.

Swali langu kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani