Iwezekane kunyonyesha na kufanya kazi
MAADHIMISHO ya Wiki ya Unyonyeshaji yanaanza kesho yakiwa na kaulimbiu ‘unyonyeshaji na kazi, hakikisha inawezekana.’
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, maadhimisho haya yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhakikisha afya ya mtoto inaboreshwa.
Kimsingi ni jukumu la mama kuhakikisha ustawi wa mtoto kwa kumpa haki yake ya kunyonya maziwa yake, tena kikamilifu.
Hili linatokana na ukweli kuwa, maziwa ya mama yana vitamini na virutubisho muhimu...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Aug
Washauriwa kutoacha kunyonyesha sababu ya kazi
WANAWAKE waajiriwa wanaonyonyesha wameshauriwa kukamua maziwa na kuyahifadhi kwa ajili ya watoto wao, wanyweshwe wakati wakiwa kazini.
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo
Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;
“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.
Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.
Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Haki ya mtoto kufanya kazi
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Vijana tujitume kufanya kazi
KATIKA jamii ya Kitanzania kijana ana nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa taifa. Kijana ni nguvu kazi kubwa inayotegemewa katika taifa hili, hivyo wanapaswa wajitambue. Kila siku tukisema tusubiri miujiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNSwrW0J6sPTEXvNMkPxiIpqJKhXb4Po4nO29c*3nSyLIKm80rofZXWah0b0oMqtgLRzO6PTsD*no7w06i5OR7TN/YANGAA.gif?width=650)
Pluijm kufanya kazi na Maximo
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
MNEC awataka vijana kufanya kazi
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Tanga (MNEC), Kasimu Kisauji, amewataka walezi na wazazi wilayani humo kuwahimiza vijana kufanya kazi kwa bidii na kuacha...