Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haki ya mtoto kufanya kazi

Leo tumeona tuzungumzie suala la kazi kwa watoto kama lilivyoanishwa na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009. Kwanza kabisa Sheria hii inatambua umuhimu wa mtoto kufanya kazi pale inapotamka, ‘Mtoto atakuwa na haki ya kufanya kazi nyepesi na kuwa mtoto ana haki ya kulipwa ujira kulingana na thamani ya kazi aliyofanya’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA AWATAKA WAJUMBE WA JUKWAA LA HAKI JINAI KUFANYA KAZI KWA UMOJA NA UZALENDO


Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Bw. Biswalo Mganga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Mahakama na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto kwake) baada ya kuzindua Jukwaa la Haki Jinai hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Bw. Biswalo Mganga (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi, baada ya kuzindua Jukwaa la Haki Jinai hivi karibuni.


Na Ismail Luhamba, Singida


AKIWA kwenye ziara ya kikazi mkoani Singida...

 

10 years ago

Bongo Movies

KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker

Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya  Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.

Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.

Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo

Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen  “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;

“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.

Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.

Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...

 

11 years ago

Habarileo

'Wazazi zingatieni haki za mtoto'

WAZAZI na walezi wa watoto wamehimizwa kuzingatia haki za mtoto katika malezi yao kuanzia ngazi ya familia kwa kuwapa stahili zote muhimu zinazotajwa katika Katiba, sheria na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeiridhia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mtoto apate haki ya kumfahamu baba’

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Ezekiel Oluoch, ametaka katiba mpya iweke kipengele cha haki ya mtoto kumfahamu baba yake mzazi. Akichangia mjadala wa jumla kuhusu ibara za sura za...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wanawake wasisitiza haki ya mama na mtoto

Mtandao wa Wanawake na Katiba kwa kushirikiana na asasi takribani 50 za kiraia zinazotetea haki za binadamu, umeendesha semina maalumu ya uchambuzi yakinifu wa Rasimu ya Pili ya Katiba inayotarajiwa kuanza kujadiliwa bungeni hivi karibuni.

 

9 years ago

Michuzi

VYOMBO HABARI VIMECHANGIA KUFANYA UCHAGUZI KUWA WAZI NA HAKI NA HURU —NEC

Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yajizajititi kusimamia haki za mtoto na marekebisho ya tabia

SAM_0080

Afisa Ustawi wa Jamii Mkuu toka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bw. Steven Gumbo (kushoto) akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) Kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kusimamia haki za mtoto na marekebisho ya tabia leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

SAM_0131

Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bw. Nsachris Mwamwaja (kulia) akikanusha taarifa zilizo ripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini...

 

10 years ago

StarTV

Tanzania yakiuka Mkataba wa Kimataifa wa haki ya mtoto Gerezani.

Na Mkombe Zanda,

Mbeya.

 

Licha ya Tanzania kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, CRC, unaozuia kuwachanganya watoto na watu wazima gerezani lakini bado kuna watoto wengi wanaokaa magerezani kote nchini kinyume na mkataba huo.

 

Mbali na kuridhia Mkataba huo wa Kimataifa, Tanzania pia imeunda Sheria ya Mtoto namba 21 ya mwaka 2009 ili kulinda haki za mtoto lakini bado juhudi hizo hazijafanikiwa kuondoa uwezekano wa watoto kuishi magerezani kinyume na matakwa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani