Tanzania yakiuka Mkataba wa Kimataifa wa haki ya mtoto Gerezani.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Licha ya Tanzania kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, CRC, unaozuia kuwachanganya watoto na watu wazima gerezani lakini bado kuna watoto wengi wanaokaa magerezani kote nchini kinyume na mkataba huo.
Mbali na kuridhia Mkataba huo wa Kimataifa, Tanzania pia imeunda Sheria ya Mtoto namba 21 ya mwaka 2009 ili kulinda haki za mtoto lakini bado juhudi hizo hazijafanikiwa kuondoa uwezekano wa watoto kuishi magerezani kinyume na matakwa ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTANZANIA YAIHAKIKISHIA JUMUIYA YA KIMATAIFA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI
Akihutubia katika Kikao cha 43 cha Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linaloendelea Geneva nchini Uswisi Waziri wa Mambo ya Nje na...
9 years ago
MichuziMISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA
9 years ago
Habarileo17 Oct
Wajadili sera ya mtoto gerezani
WADAU mbalimbali wamekutana kujadili rasimu ya sera ya Jeshi la Magereza ya ulinzi wa mtoto anapokuwa gerezani kwa lengo la kutoa maboresho yao.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Haki na wajibu wako katika mkataba (3)
11 years ago
Zitto Kabwe, MB06 Jul
Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
- Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Zitto Kabwe, Mb
Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Simba yakiuka agizo la TFF
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Simba umekiuka agizo la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwataka wafanye mazungumzo mapya na mchezaji wao, Ramadhani Singano ‘Messi’, kwa madai kuwa amekwenda kinyume cha makubaliano yao kwa kutoa siri juu ya kilichozungumzwa kwenye kikao hicho.
Maamuzi hayo ya Simba yalitolewa jana kufuatia kikao cha Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, kilichokaa juzi kujadili masuala mbalimbali ya klabu hiyo, ikiwemo sakata la mchezaji wao huyo.
TFF...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
VALERIE MSOKA: Mtetezi wa haki za binadamu mwenye uzoefu wa kimataifa
WIKI hii katika safu hii namzungumza Valerie Msoka, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA). Huyu ni mama wa watoto watatu; wasichana wawili na mvulana mmoja...