Simba yakiuka agizo la TFF
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Simba umekiuka agizo la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwataka wafanye mazungumzo mapya na mchezaji wao, Ramadhani Singano ‘Messi’, kwa madai kuwa amekwenda kinyume cha makubaliano yao kwa kutoa siri juu ya kilichozungumzwa kwenye kikao hicho.
Maamuzi hayo ya Simba yalitolewa jana kufuatia kikao cha Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, kilichokaa juzi kujadili masuala mbalimbali ya klabu hiyo, ikiwemo sakata la mchezaji wao huyo.
TFF...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 Dec
Tanzania yakiuka Mkataba wa Kimataifa wa haki ya mtoto Gerezani.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Licha ya Tanzania kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, CRC, unaozuia kuwachanganya watoto na watu wazima gerezani lakini bado kuna watoto wengi wanaokaa magerezani kote nchini kinyume na mkataba huo.
Mbali na kuridhia Mkataba huo wa Kimataifa, Tanzania pia imeunda Sheria ya Mtoto namba 21 ya mwaka 2009 ili kulinda haki za mtoto lakini bado juhudi hizo hazijafanikiwa kuondoa uwezekano wa watoto kuishi magerezani kinyume na matakwa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuWGt8UPx4yp65pF*x3ZoLrlSVnpPFPqv1NZJ9DuIBtKMuQmIpFN3Gx49BmFgYQxSlcHu1zQZoe4SjHiR7tC4DKc/tff.jpg)
TFF yamfungia beki Simba
10 years ago
Mwananchi15 Jun
TFF yazitega Yanga, Simba
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yamtambua Rage Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJICoCYZRWXm*WHwX2kwPKvJHJTSVa6mnNrwDszUr6Yh*BuGEL0wEqKkHW8BO7kWJEc-JMWVQlS0zL7EvrWcNpfo/tff.gif?width=650)
TFF wawakutanisha Tambwe, Simba
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Simba SC yaijia juu TFF
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
11 years ago
TheCitizen17 Jun
TFF suspends Simba SC general election