Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF wawakutanisha Tambwe, Simba

Straika wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Nicodemus Jonas,Dar es Salaam
MALIPO ya straika wa Yanga, Amissi Tambwe ambayo anaidai Simba, yanazidi kupigwa danadana, hiyo ni baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuzitaka pande hizo mbili kukutana na kumalizana. Tambwe anaidai Simba dola 11,000 ambazo ni malipo ya kuvunjwa kwa mkataba wake wakati alipokuwa akiitumikia timu hiyo kabla ya kutua Yanga, Simba pia inadaiwa na Pierre...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ALIYEMNIGA TAMBWE, ATUPWA JELA TFF

Na Bertha Lumala, Dar es SalaamBeki kisiki George Michael wa Ruvu Shooting Stars amefungiwa mechi tatu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu baada ya kupatikana na kosa la kinidhamu la kumkaba koo mshambuliaji Amisi Tambwe wa Yanga.Baada ya kutoka suluhu dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi yao ya raundi ya 11 ya ligi kuu ya Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini hapa Januari 17, Yanga SC ilimfungulia mashtaka kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) beki huyo ukidai alimbagua, kumdhalilisha na...

 

10 years ago

Michuzi

Mchezaji Hamis Tambwe alia na TFF,atawaka wanaoleta vurugu wachukuliwe hatua


Mshambuliaji Hamis Tambwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuchukua hatua stahiki dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting kwa kitendo cha kumshambulia na kumtolea lugha chafu uwanjani ikiwemo kumbagua kwa kumuita mkimbizi.

Akizungumza Makao Makuu ya klabu ya Yanga iliyopo mtaa wa Twiga na Jangwani leo, Tambwe alisema kuwa kitendo alichofanyiwa ni cha kinyama na anakilaani kwa nguvu zote, na anataka aelezwe wazi iwapo wachezaji kutoka mataifa mengine hawatakiwi kucheza Tanzania.
"Uwanja...

 

11 years ago

GPL

TAMBWE BYEBYE SIMBA SC

Mshambuliaji Hamis Tambwe akishangilia. Na Martha Mboma
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Mrundi Amissi Tambwe, anawaniwa na timu kutoka nchi za Oman, Msumbiji kwa ajili ya kwenda kuzitumikia katika ligi za nchi hizo ingawa haijatajwa, timu gani inahitaji saini ya straika huyo.…

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yamleta nduguye Tambwe

Simba imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji kutoka Burundi baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kupendekeza atafutiwe mchezaji mwingine mwenye nguvu, akili ya mchezo.

 

11 years ago

TheCitizen

Tambwe saves Simba blushes

Simba SC climbed to the third place yesterday after playing out a one-all draw against Mtibwa Sugar in a rather dull Vodacom Premier League match.

 

10 years ago

GPL

Simba yamtosa Tambwe, kisa...

Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...

 

9 years ago

Mwananchi

Tambwe hazuiliki, Simba yajikwaa

Ni nani wa kumzuia Amissi Tambwe? Hilo ni swali linaloweza kuulizwa sasa na mashabiki, hali kadhalika mabeki wa timu pinzani baada ya jana mshambuliaji huyo wa Yanga kuifungia timu yake mabao mawili wakati timu yake ikiiadhibu Mbeya City kwa mabao 3-0, huku mtani wao, Simba ikikwama tena Kanda ya Ziwa.

 

10 years ago

GPL

Phiri amtuliza Tambwe Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya kumuacha katika kikosi cha timu hiyo kilichocheza dhidi ya URA ya Uganda hivi karibuni, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, amemtuliza mshambuliaji wake raia wa Burundi, Amissi Tambwe na kumhakikishia kuwa atapata nafasi ya kucheza. Ijumaa iliyopita, Tambwe alijikuta katika wakati mgumu baada kutoswa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kilicheza na URA na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani