Tambwe saves Simba blushes
Simba SC climbed to the third place yesterday after playing out a one-all draw against Mtibwa Sugar in a rather dull Vodacom Premier League match.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9Kd7fDSblO3D0CTAbrZsSQGVAbYlm*qNOY6ovZF7NiCbDUU2FUm4YGvKjeswh3f-5Ftzn8Pqq-Xftdky5CvmsSHs/tambwe.jpg?width=650)
TAMBWE BYEBYE SIMBA SC
Mshambuliaji Hamis Tambwe akishangilia. Na Martha Mboma
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Mrundi Amissi Tambwe, anawaniwa na timu kutoka nchi za Oman, Msumbiji kwa ajili ya kwenda kuzitumikia katika ligi za nchi hizo ingawa haijatajwa, timu gani inahitaji saini ya straika huyo.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuoQrz7lw*tYXn42M9AkTiFVdrJOx*RHD4nI*SPKZyFg2nzANz1U-6treOtRNLAO3Gpz0zNQ73N3u7fyoqapTAOt/phili.jpg)
Phiri amtuliza Tambwe Simba
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya kumuacha katika kikosi cha timu hiyo kilichocheza dhidi ya URA ya Uganda hivi karibuni, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, amemtuliza mshambuliaji wake raia wa Burundi, Amissi Tambwe na kumhakikishia kuwa atapata nafasi ya kucheza. Ijumaa iliyopita, Tambwe alijikuta katika wakati mgumu baada kutoswa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kilicheza na URA na...
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Tambwe hazuiliki, Simba yajikwaa
Ni nani wa kumzuia Amissi Tambwe? Hilo ni swali linaloweza kuulizwa sasa na mashabiki, hali kadhalika mabeki wa timu pinzani baada ya jana mshambuliaji huyo wa Yanga kuifungia timu yake mabao mawili wakati timu yake ikiiadhibu Mbeya City kwa mabao 3-0, huku mtani wao, Simba ikikwama tena Kanda ya Ziwa.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Tambwe avuna mamilioni Simba
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeitaka Simba kumlipa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v5AuJFeiIKR6Li1vRIWIdlHBv1Vi*3sk0XYk8khWrSvswRXcitmSgBWa63NoLFEj7Y7h5veiz4ExyY2yyUnZk-u/Tambwe.jpg?width=650)
Simba yamfungulia mashtaka Tambwe
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, ameibuka upya na kulizungumzia suala la mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe kupigwa kabali na beki wa Ruvu Shooting huku akisema hata yeye inaonekana alifanya makosa makubwa na alistahili kadi nyekundu. Kigogo huyo mwenye ushawishi ndani ya Simba, amesema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), linatakiwa kumpa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CENL*fVUEuR0J78GIdHOUvESPFtq3dZ8-ecKb3SYSNO18UBYzfxXMk2AW7ZV1D-080ubDjk-DptPehoQ0h*Uha/yamtosa.jpg)
Simba yamtosa Tambwe, kisa...
Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Simba yawazuia Tambwe, Kwizera
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umewazuia nyota wake wa Kimataifa kutoka Burundi, Amis Tambwe na Pierre Kwizera kwenda kwao kujiunga na timu ya taifa inajiandaa na mechi ya kirafiki dhidi...
11 years ago
TheCitizen24 Apr
Tambwe signals Simba SC exit
Simba SC must start preparing for life without Amis Tambwe after the Burundian goal-getter dropped a bombshell by signalling his exit.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGY3biuupQ52VNuw0z0ZUG*J2sAJlObdYhrjnss03QSY4YBMVseqVlt0M94I1C6mC*xGNCTi-fSqu13asWfxMY/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe atangaza kuondoka Simba
Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe huenda akavunja mkataba wake na klabu hiyo na kuondoka zake mara baada ya kumalizika kwa msimu huu, ikiwa timu hiyo haitapata nafasi ya kuwakilisha taifa kwenye mashindano ya kimataifa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania