Tambwe avuna mamilioni Simba
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeitaka Simba kumlipa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTAMBWE BYEBYE SIMBA SC
Mshambuliaji Hamis Tambwe akishangilia. Na Martha Mboma
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Mrundi Amissi Tambwe, anawaniwa na timu kutoka nchi za Oman, Msumbiji kwa ajili ya kwenda kuzitumikia katika ligi za nchi hizo ingawa haijatajwa, timu gani inahitaji saini ya straika huyo.…
10 years ago
GPLSIMBA KULIPWA MAMILIONI
Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeiagiza Etoile du Sahel kulipa kitita cha dola 300,000 (zaidi ya milioni 500) pamoja na faini. Fifa imeitaka klabu hiyo ya Sousse nchini Tunisia kuhakikisha inalipa fedha hizo ndani ya mwezi mmoja pamoja na faini ya dola 28,000. Hatua hiyo imefikia baada ya Simba kushinda kesi iliyotokana na Simba kushitaki kwa Fifa baada ya Etoile kushindwa kulipa fedha za malipo ya kumnunua Emmanuel Okwi...
10 years ago
GPLSimba yamfungulia mashtaka Tambwe
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, ameibuka upya na kulizungumzia suala la mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe kupigwa kabali na beki wa Ruvu Shooting huku akisema hata yeye inaonekana alifanya makosa makubwa na alistahili kadi nyekundu. Kigogo huyo mwenye ushawishi ndani ya Simba, amesema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), linatakiwa kumpa...
11 years ago
TheCitizen06 Feb
Tambwe saves Simba blushes
Simba SC climbed to the third place yesterday after playing out a one-all draw against Mtibwa Sugar in a rather dull Vodacom Premier League match.
11 years ago
GPLTambwe avuruga mazoezi Simba SC
Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto).
Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, jana alikuwa kituko katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika Gym ya Silas iliyopo Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi hayo, Tambwe alikuwa kituko kutokana na muda mwingi kufanya makosa kwa kwenda kinyume na maelekezo ya kiongozi wao, Silas Bungaca...
10 years ago
GPLSimba yamtosa Tambwe, kisa...
Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...
10 years ago
Vijimambo02 Jan
TAMBWE AISHITAKI SIMBA FIFA
Mshambuliaji wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe.
Na Wilbert MolandiMSHAMBULIAJI wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe ameiambia klabu yake ya zamani, Simba kuwa hadi kufikia leo Ijumaa akiwa hajalipwa fedha zake anazodai, basi atakwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
Tambwe anaidai Simba dola 7,000 (zaidi ya Sh milioni 11) kutokana na klabu hiyo kusitisha mkataba wake hivi karibuni kiasi ambacho kinafanana na kile anachodai aliyekuwa kiungo wa timu hiyo Pierre Kwizera, ambaye...
Na Wilbert MolandiMSHAMBULIAJI wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe ameiambia klabu yake ya zamani, Simba kuwa hadi kufikia leo Ijumaa akiwa hajalipwa fedha zake anazodai, basi atakwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
Tambwe anaidai Simba dola 7,000 (zaidi ya Sh milioni 11) kutokana na klabu hiyo kusitisha mkataba wake hivi karibuni kiasi ambacho kinafanana na kile anachodai aliyekuwa kiungo wa timu hiyo Pierre Kwizera, ambaye...
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Simba yamleta nduguye Tambwe
Simba imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji kutoka Burundi baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kupendekeza atafutiwe mchezaji mwingine mwenye nguvu, akili ya mchezo.
11 years ago
GPLTambwe atangaza kuondoka Simba
Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe huenda akavunja mkataba wake na klabu hiyo na kuondoka zake mara baada ya kumalizika kwa msimu huu, ikiwa timu hiyo haitapata nafasi ya kuwakilisha taifa kwenye mashindano ya kimataifa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania