TAMBWE AISHITAKI SIMBA FIFA
Mshambuliaji wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe.
Na Wilbert MolandiMSHAMBULIAJI wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe ameiambia klabu yake ya zamani, Simba kuwa hadi kufikia leo Ijumaa akiwa hajalipwa fedha zake anazodai, basi atakwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
Tambwe anaidai Simba dola 7,000 (zaidi ya Sh milioni 11) kutokana na klabu hiyo kusitisha mkataba wake hivi karibuni kiasi ambacho kinafanana na kile anachodai aliyekuwa kiungo wa timu hiyo Pierre Kwizera, ambaye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTAMBWE BYEBYE SIMBA SC
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Simba yawazuia Tambwe, Kwizera
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umewazuia nyota wake wa Kimataifa kutoka Burundi, Amis Tambwe na Pierre Kwizera kwenda kwao kujiunga na timu ya taifa inajiandaa na mechi ya kirafiki dhidi...
10 years ago
GPLSimba yamtosa Tambwe, kisa...
11 years ago
TheCitizen06 Feb
Tambwe saves Simba blushes
11 years ago
GPLTambwe avuruga mazoezi Simba SC
11 years ago
GPLTambwe atangaza kuondoka Simba
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Tambwe hazuiliki, Simba yajikwaa
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Tambwe avuna mamilioni Simba