Tambwe avuruga mazoezi Simba SC
Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto). Na Sweetbert Lukonge MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, jana alikuwa kituko katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika Gym ya Silas iliyopo Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi hayo, Tambwe alikuwa kituko kutokana na muda mwingi kufanya makosa kwa kwenda kinyume na maelekezo ya kiongozi wao, Silas Bungaca...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9Kd7fDSblO3D0CTAbrZsSQGVAbYlm*qNOY6ovZF7NiCbDUU2FUm4YGvKjeswh3f-5Ftzn8Pqq-Xftdky5CvmsSHs/tambwe.jpg?width=650)
TAMBWE BYEBYE SIMBA SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGY3biuupQ52VNuw0z0ZUG*J2sAJlObdYhrjnss03QSY4YBMVseqVlt0M94I1C6mC*xGNCTi-fSqu13asWfxMY/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe atangaza kuondoka Simba
10 years ago
Vijimambo02 Jan
TAMBWE AISHITAKI SIMBA FIFA
![](http://api.ning.com/files/vanfKzplWu-VfQyRj7LmOh7yzwbpe2R6o59Q8e2d46wPkI*P3sQ4fI*XhpuqtxJcMisi66MjrvwicrgFwbdwcPzTRUvyaXnf/t.jpg)
![](http://api.ning.com/files/vanfKzplWu*6EjVaRYxE6baFBH1-AAUTDgRgz4dBAuDBQ7qulcdWqml1lP9ABDcZ6uJCBM3uDlvzk744ljCwy0FrDlhUt1jY/AmissTambwe2.jpg)
Na Wilbert MolandiMSHAMBULIAJI wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe ameiambia klabu yake ya zamani, Simba kuwa hadi kufikia leo Ijumaa akiwa hajalipwa fedha zake anazodai, basi atakwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
Tambwe anaidai Simba dola 7,000 (zaidi ya Sh milioni 11) kutokana na klabu hiyo kusitisha mkataba wake hivi karibuni kiasi ambacho kinafanana na kile anachodai aliyekuwa kiungo wa timu hiyo Pierre Kwizera, ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v5AuJFeiIKR6Li1vRIWIdlHBv1Vi*3sk0XYk8khWrSvswRXcitmSgBWa63NoLFEj7Y7h5veiz4ExyY2yyUnZk-u/Tambwe.jpg?width=650)
Simba yamfungulia mashtaka Tambwe
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Simba yawazuia Tambwe, Kwizera
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umewazuia nyota wake wa Kimataifa kutoka Burundi, Amis Tambwe na Pierre Kwizera kwenda kwao kujiunga na timu ya taifa inajiandaa na mechi ya kirafiki dhidi...
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Simba yamleta nduguye Tambwe
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Tambwe hazuiliki, Simba yajikwaa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CENL*fVUEuR0J78GIdHOUvESPFtq3dZ8-ecKb3SYSNO18UBYzfxXMk2AW7ZV1D-080ubDjk-DptPehoQ0h*Uha/yamtosa.jpg)
Simba yamtosa Tambwe, kisa...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Aveva: Tambwe haondoki Simba