Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
NA EVELYN MKOKOI,DODOMA
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKongamano la kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga adhabu ya kifo lafanyika Pemba
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mikataba ya kimataifa yaisaidia Tanzania hifadhi ya jamii
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana (kulia) akizungumza katika mkutano wa siku tatu wa kimataifa unaohusu hifadhi ya jamii unaotarajiwa kumalizika leo jijini Arusha. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe na kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi Wetu, Arusha
UTIAJI saini wa mikataba ya kimataifa, inayohusu hifadhi ya jamii...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s72-c/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO-TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s640/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
5 years ago
MichuziTANZANIA YAIHAKIKISHIA JUMUIYA YA KIMATAIFA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI
Akihutubia katika Kikao cha 43 cha Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linaloendelea Geneva nchini Uswisi Waziri wa Mambo ya Nje na...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s72-c/US.jpg)
TANZANIA: JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s640/US.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM, NEW YORKMwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na magonjwa ya milipuko na dharura nyingine za kiafya.
Katika mjadala huo, wazungumzaji wengi, walisisitiza umuhimu wa kuimarishwa kwa mifumo ya afya, hususan katika nchi za kipato cha chini na cha kati zisizo na uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa ya...
9 years ago
Habarileo16 Sep
Kemikali zinazomong’onyoa tabaka la ozoni zapunguzwa
UZALISHAJI wa kemikali zinazomong’onyoa tabaka la hewa ya ozoni umepunguzwa kwa asilimia 98 duniani, imeelezwa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QEOTbQJ5XdM/VA2wQPlymCI/AAAAAAAGh4w/9Cq9yglWN3E/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
serikali yajipanga kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni nchini
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Juhudi za serikali kukabili kuharibika kwa tabaka la ozoni
TABAKA la Ozoni ni mlinzi wa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Tabaka hili ni kama blanketi au mwavuli kati ya jua na uso wa dunia ambalo hutukinga...