JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO-TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s72-c/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
Bw. Noel Kaganda, Afisa Mwandamizi, Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza kwa niaba ya Tanzania wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipokutana mwishoni mwa wiki kujadili kuhusu ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje.-------------------------------------------------------------------------Mwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s72-c/US.jpg)
TANZANIA: JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s640/US.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM, NEW YORKMwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na magonjwa ya milipuko na dharura nyingine za kiafya.
Katika mjadala huo, wazungumzaji wengi, walisisitiza umuhimu wa kuimarishwa kwa mifumo ya afya, hususan katika nchi za kipato cha chini na cha kati zisizo na uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
10 years ago
Habarileo16 Jul
JK aongoza vikao jopo la magonjwa ya milipuko
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa linalochunguza jinsi dunia inavyoweza kujikinga na majanga ya magonjwa ya milipuko katika miaka ijayo, yuko jijini hapa kuanzia juzi usiku kwa ajili ya kuendesha vikao vya jopo hilo.
5 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKIANA NA FAO KUDHIBITI MAGONJWA YA MIFUGO KUFIKIA SOKO LA KIMATAIFA.
5 years ago
MichuziTANZANIA YAIHAKIKISHIA JUMUIYA YA KIMATAIFA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI
Akihutubia katika Kikao cha 43 cha Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linaloendelea Geneva nchini Uswisi Waziri wa Mambo ya Nje na...
9 years ago
StarTV23 Nov
 Hofu ya magonjwa ya milipuko yatanda Hospitali ya wilaya Ya Hai kutokana na Vyoo Kujaa
Hofu ya kukumbwa na maradhi mbalimbali kama kipindupindu, kuhara na homa ya matumbo imetanda kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kutokana na vyoo wanavyotumia wagonjwa hao kujaa.
Hali hiyo imeleta sintofahamu kubwa juu ya usalama wa maisha yao hasa katika kipindi hiki cha Mvua kinachoambatana na magonjwa mbalimbali ya mlipuko.
Ni maswali ambayo wamebaki wakijiuliza baadhi ya akinamama wanaouguza watoto wao katika wodi hii .
Baada ya star tv...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200228-WA0048.jpg)
WATANZANIA WAMETAKIWA KUTUMIA HUDUMA YA USAFI WA MAZINGIRA KWA LENGO LA KUEPUSHA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7SIiN1TwKA0/Xljv8AvAykI/AAAAAAAAIKU/QhVrx1CCYwovqya7Etmzx4L_HVXodI3VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0048.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dqZb8iGlfHA/Xljv8HfMIBI/AAAAAAAAIKc/yA3D2T6TEGE7WsW1kvGkqGtNgHtSQKcIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0049.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bU8SnVS4lxM/XljwF4ygvHI/AAAAAAAAIKg/9HhMgwHeZzoUlA0KvSHyMGfqBBxKzidSwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200228_131700_848.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zZTr0yAcBfB3ps9oDMqNryMx0i9S5Yu*aF3ePQT*EGIu6yzYZ4kuiTT*ffGJkLwRsuhKKMtFOedzAphhaYS5oMc/GetImage.aspx.gif?width=650)
MAGONJWA YA KIKE NA JINSI YA KUKABILIANA NAYO (GYNO PROBLEMS)-2