TANZANIA YASHIRIKIANA NA FAO KUDHIBITI MAGONJWA YA MIFUGO KUFIKIA SOKO LA KIMATAIFA.
Na. Edward Kondela Serikali imesema itahakikisha afya ya mifugo nchini inazidi kuimarika kwa Tanzania kudhibiti magonjwa mbalimbali ya mifugo ukiwemo wa miguu na midomo unaoathiri ng’ombe (FMD), ili nchi iweze kuuza nyama na mifugo yake katika masoko mbalimbali ya kimataifa. Akizungumza leo (12.03.2020) ofisini kwake jijini Dodoma, alipokutana na mwakilishi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) Mkoa wa Dodoma Dkt. Moses Ole-Neselle, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s72-c/US.jpg)
TANZANIA: JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s640/US.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM, NEW YORKMwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na magonjwa ya milipuko na dharura nyingine za kiafya.
Katika mjadala huo, wazungumzaji wengi, walisisitiza umuhimu wa kuimarishwa kwa mifumo ya afya, hususan katika nchi za kipato cha chini na cha kati zisizo na uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s72-c/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO-TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s640/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya Corona: Kituo cha kudhibiti magonjwa cha AU chaitaka Tanzania kutoa takwimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s72-c/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
SERIKALI YAJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YA MIFUGO NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s640/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua eneo linalotumika kuchoma nyama kwenye mnada wa Ndelema uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga wakati akihitimisha ziara yake wilayani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d0d56dc4-aeef-4d77-8db0-5f2c3e9bc4fd.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiangalia moja ya aina za samaki zinazopatikana katika bwawa la samaki la asili lililopo Kijiji cha Kweingoma Wilaya Handeni Vijijini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/0a58e3ec-5f39-4118-8988-3aa651498f35.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na wafugaji na...
5 years ago
MichuziSERIKALI YATANGAZA BEI ELEKEZI YA CHANJO 13 ZA MAGONJWA YA MIFUGO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Profesa Amandus Muhairwa baada ya kuiziduia bodi hiyo na kupokea taarifa ya kutangazwa kwa bei elekezi ya Chanjo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma
10 years ago
Vijimambo12 Nov
SERIKALI KUDHIBITI UGONJWA WA UKIMWI KUFIKIA MAAMBUKIZI SIFURI
![](https://4.bp.blogspot.com/-c1xHReHUfGw/VGMXZivfsyI/AAAAAAACS7g/LtoUHouWx9k/s640/pix%2B1%2B(2).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-N3jckQXK6Ls/VGMXZZdlQpI/AAAAAAACS7c/BeR3y63R0pI/s640/pix%2B2%2B(1).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-LUvztU4Cbo0/VGMXa0cMmVI/AAAAAAACS70/EIztxN2Eav4/s640/pix%2B3%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Serikali kudhibiti ukimwi hadi kufikia maambukizi sifuri
Serikali imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025.
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti mtendaji kutoka Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatma H. Mrisho wakati wa mkutano wa serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji wa programu za ukimwi jana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa mkutano huo...