SERIKALI YATANGAZA BEI ELEKEZI YA CHANJO 13 ZA MAGONJWA YA MIFUGO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Profesa Amandus Muhairwa baada ya kuiziduia bodi hiyo na kupokea taarifa ya kutangazwa kwa bei elekezi ya Chanjo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) baada ya uzinduzi wa Bodi ya TVLA Makao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s72-c/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
SERIKALI YAJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YA MIFUGO NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s640/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua eneo linalotumika kuchoma nyama kwenye mnada wa Ndelema uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga wakati akihitimisha ziara yake wilayani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d0d56dc4-aeef-4d77-8db0-5f2c3e9bc4fd.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiangalia moja ya aina za samaki zinazopatikana katika bwawa la samaki la asili lililopo Kijiji cha Kweingoma Wilaya Handeni Vijijini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/0a58e3ec-5f39-4118-8988-3aa651498f35.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na wafugaji na...
11 years ago
Habarileo14 Mar
Serikali kutaja bei elekezi ada shule za msingi
KILIO cha siku nyingi cha wazazi kuhusu ada za shule za msingi na sekondari, kimesikika na hivi karibuni Serikali itakuja na jibu la kudhibiti ada hizo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amesema hayo jana wakati alipozindua mfumo wa ada elekezi kwa vyuo vya elimu ya juu nchini. Amesema kwa sasa Serikali iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s640/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQWiMCBisqo/Xu59wDpknJI/AAAAAAAAHVg/Y97kflRidlEWEO_LlX6sEsdbQ6gqvHpOQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200619_113202.jpg)
SERIKALI IMEKABIDHIWA VIFAA VYA MAABARA VYA UCHUNGUZI NA UTAMBUZI WA MAGONJWA YA MIFUGO
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).
Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzD7-kwIPgg/XsPLZtWGCiI/AAAAAAALqw0/vjBiZMmJWdYjQBkt5Jsa9OxtJmNN6dQVACLcBGAsYHQ/s72-c/9fcab2c6-8c9d-40fe-b2bd-70fec1ca132d.jpg)
LICHA YA JANGA LA CORONA, HUDUMA ZA CHANJO NA UFUATILIAJI WA MAGONJWA YANAYOZUILIKA KWA CHANJO ZAENDELEA KWA UANGALIFU MKUBWA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzD7-kwIPgg/XsPLZtWGCiI/AAAAAAALqw0/vjBiZMmJWdYjQBkt5Jsa9OxtJmNN6dQVACLcBGAsYHQ/s640/9fcab2c6-8c9d-40fe-b2bd-70fec1ca132d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/c755576d-f501-423f-9aed-c746dc135fad.jpg)
Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo...
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Watakaokiuka bei elekezi kukiona
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Wanunuzi wa pamba watakiwa kufuata bei elekezi
BODI ya Pamba Tanzania (TCB), imesema mnunuzi atakayenunua pamba kwa bei chini ya bei elekezi, atakuwa anavunja sheria na taratibu zinazosimamia zao hilo. Mkurugenzi Mkuu wa TCB, Gabriel Mwalo, amesema...
5 years ago
MichuziHALMASHAURI YA MJI KONDOA KUTOA CHANJO ZOTE KWA MIFUGO
Idara ya Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji Kondoa imejipankuendelea kutoa chanjo ya magonjwa ya Mifugo kulingana na kalenda ya chanjo inavyoonyesha kwa mwaka mzima.
Hayo yalibainishwa na Afisa Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Mji Bi. Monica Kimario wakati wa utoaji wa chanjo ya ugonjwa wa Kimeta na Chambavu kwa mifugo ya kata ya Kingale.
“Nawasihi sana wafugaji wa Kata ya Kingale washiriki katika zoezi hili kwa kuleta mifugo yao katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya utoaji wa chanjo...