SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Na Mbaraka Kambona, Dodoma
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s72-c/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
SERIKALI YAJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YA MIFUGO NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s640/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua eneo linalotumika kuchoma nyama kwenye mnada wa Ndelema uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga wakati akihitimisha ziara yake wilayani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d0d56dc4-aeef-4d77-8db0-5f2c3e9bc4fd.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiangalia moja ya aina za samaki zinazopatikana katika bwawa la samaki la asili lililopo Kijiji cha Kweingoma Wilaya Handeni Vijijini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/0a58e3ec-5f39-4118-8988-3aa651498f35.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na wafugaji na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sl1Avwf2FVc/Xq5g7tZQhtI/AAAAAAALo3s/3Ia-gTn-slcVoqkwS_cUY3wRs6dva5rTwCLcBGAsYHQ/s72-c/e5ed4045-110c-447f-86c6-21eee8c57522.jpg)
SERIKALI YAANZA MKAKATI WA MALISHO BORA YA KISAYANSI KWA AJILI YA MIFUGO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-sl1Avwf2FVc/Xq5g7tZQhtI/AAAAAAALo3s/3Ia-gTn-slcVoqkwS_cUY3wRs6dva5rTwCLcBGAsYHQ/s640/e5ed4045-110c-447f-86c6-21eee8c57522.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza mara baada ya kukagua shamba darasa la malisho bora ya mifugo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3cc89158-9d80-43b9-b267-19aef5c1590b.jpg)
Muonekano wa shamba darasa la malisho bora ya mifugo lililopo katika Kijiji cha Mahambe kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/d744d0b2-aa28-4171-bf6a-fdfac2bf97df.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akikagua mbegu za moja ya aina ya...
5 years ago
MichuziSERIKALI YATANGAZA BEI ELEKEZI YA CHANJO 13 ZA MAGONJWA YA MIFUGO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Profesa Amandus Muhairwa baada ya kuiziduia bodi hiyo na kupokea taarifa ya kutangazwa kwa bei elekezi ya Chanjo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma
10 years ago
Habarileo22 Jun
Serikali, Apollo kuanzisha hospitali ya magonjwa sugu
SERIKALI kwa kushirikiana na Hospitali bingwa ya magonjwa sugu duniani ya Apollo iliyopo nchini India, inatarajia kuanzisha hospitali nchini kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo badala ya wagonjwa kusafirishwa India.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto
“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQWiMCBisqo/Xu59wDpknJI/AAAAAAAAHVg/Y97kflRidlEWEO_LlX6sEsdbQ6gqvHpOQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200619_113202.jpg)
SERIKALI IMEKABIDHIWA VIFAA VYA MAABARA VYA UCHUNGUZI NA UTAMBUZI WA MAGONJWA YA MIFUGO
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).
Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Tacaids yaandaa mkakati kutokomeza VVU
TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imeandaa mkakati wa kitaifa na kimataifa kutokomeza maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Mkatae jirani asiyekuwa na choo kutokomeza magonjwa ya kuhara
KAMPENI ya ‘Mkatae Jirani Asiyekuwa na Choo,’ kwa kushirikiana na makundi mbalimbali inalenga kuondoa tatizo la vyoo mkoani Singida. Sababu ya kuanza kwa kampeni hiyo ni kutokana na mvua kubwa...