Mkatae jirani asiyekuwa na choo kutokomeza magonjwa ya kuhara
KAMPENI ya ‘Mkatae Jirani Asiyekuwa na Choo,’ kwa kushirikiana na makundi mbalimbali inalenga kuondoa tatizo la vyoo mkoani Singida. Sababu ya kuanza kwa kampeni hiyo ni kutokana na mvua kubwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Ikungi yaja na kampeni ya ‘Mkatae jirani asiye na choo’
KAMPENI ya ‘Mkatae jirani asiyekuwa na choo’ kwa kushirikiana na makundi mbalimbali ya hamasa yaliyopo katika Kata ya Ikungi, inalenga kuondoa tatizo lililotokana na mvua kubwa zilizonyesha mkoani Singida na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Magonjwa ya kuhara yaua milioni moja
WATU milioni 1.8 wanakufa kila mwaka duniani kutokana na magonjwa ya kuhara yanayosababishwa na kutokunywa majisafi na salama. Mkurugenzi wa shirika lisilokuwa la kiserikali linalojishughulisha na uboreshaji wa afya (HAPA)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s72-c/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
SERIKALI YAJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YA MIFUGO NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fQCpCLYwF8I/XlKYEWvAf9I/AAAAAAALe6o/XzSLuU5nfPw4edSfLT_0BGRWqw8ig-uRwCLcBGAsYHQ/s640/c30b82d3-b90b-4b71-ad7d-e881d18841eb.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua eneo linalotumika kuchoma nyama kwenye mnada wa Ndelema uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga wakati akihitimisha ziara yake wilayani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/d0d56dc4-aeef-4d77-8db0-5f2c3e9bc4fd.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiangalia moja ya aina za samaki zinazopatikana katika bwawa la samaki la asili lililopo Kijiji cha Kweingoma Wilaya Handeni Vijijini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/0a58e3ec-5f39-4118-8988-3aa651498f35.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na wafugaji na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s640/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Jitihada za pamoja kigezo muhimu katika kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa nchini Tanzania
Kushoto ni mtaalamu wa magonjwa ya mfumo wa mkojo na uzazi, Dk.Rajagopal na upande wa kulia ni mtaalamu wa magonjwa ya figo Dk. Sanjay Maitra, walipokuja kuona na kutoa tiba kwa wagonjwa katika kliniki iliyofanyika hosipital ya Hindu Mandal.
Kuishi ni jambo moja. Kuishi maisha yenye afya njema ni kitu kingine kabisa. Hakuna anaeweza kushuhudia juu ya ukweli huu zaidi ya wale wapatao adha itokanayo na athari za magonjwa yasiyo ya kuambukiza.
Idadi kubwa ya watanzania watu wazima na...
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Asha Bakari: Msusi asiyekuwa uwezo wa kuona anavyojikimu kimaisha Uganda
9 years ago
Habarileo20 Sep
Watano wafariki Kisiwa cha Ilugwa kwa kuhara
WATU watano wakazi wa Kisiwa cha Ilugwa wilaya ya Ukerewe, Mwanza wamepoteza maisha baada ya kuugua ugonjwa wa kuhara na kutapika, huku ikielezwa kuwepo kwa upungufu wa dawa na wataalamu.
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.
Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMyO4NK7K9aQI5NF4iOWazQMcKmt8RbdKtXQKEbsh5w-0R6YM2zHYywcwDbhbiCXKg5CjIRGuiS6pwz-d6FcUpY/choo.jpg?width=650)
CHOO...