Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jitihada za pamoja kigezo muhimu katika kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa nchini Tanzania

Dr Rajagopal & Dr Sanjay Maitra 2

Kushoto ni mtaalamu wa magonjwa ya mfumo wa mkojo na uzazi, Dk.Rajagopal na upande wa kulia ni mtaalamu wa magonjwa ya figo Dk. Sanjay Maitra, walipokuja kuona na kutoa tiba kwa wagonjwa  katika kliniki iliyofanyika hosipital ya  Hindu Mandal. 

Kuishi ni jambo moja. Kuishi maisha yenye afya njema ni kitu kingine kabisa. Hakuna anaeweza kushuhudia juu ya ukweli huu zaidi ya wale wapatao adha itokanayo na  athari za magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Idadi kubwa ya watanzania  watu wazima na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YA MIFUGO NCHINI.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua eneo linalotumika kuchoma nyama kwenye mnada wa Ndelema uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga wakati akihitimisha ziara yake wilayani .
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiangalia moja ya aina za samaki zinazopatikana katika bwawa la samaki la asili lililopo Kijiji cha Kweingoma Wilaya Handeni Vijijini.



Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na wafugaji na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Coral Paints katika jitihada za kuongeza ujuzi kwa wapiga rangi nchini Tanzania

IMG-20150325-WA0072-0-04

Ili kuwa mpiga rangi mzuri na mpambaji , lazima mtu awe mbunifu na mwenye ujuzi unaostahili vilevile awe na uwezo wa kuelewa  na  kufuzu ujuzi  wote unaohitajika katika kudumisha kiwango cha hali ya juu katika sekta ya upakaji rangi na mapambo . Kwa kiwango cha kitaifa sekta ya upakaji rangi imepata kuungwa mkono ili kuongeza ujuzi kwa maelfu ya wafanyabiashara nchini. Ukosefu wa maarifa na ujuzi muhimu kwa watu wanaopaka rangi umekuwa ukisababisha msuguano kati ya wamiliki wa nyumba ,...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WA MAZINGIRA WAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NIHATI JADIDIFU NCHINI


Wadau wa mazingira kutoka Shirika la FORUMCC wakiendelea na majadiliano leo Juni 25,2020 Mjini Morogoro ambao wamekutana kujadilia bajeti ya Wizara ya Nishati pamoja na jitihada zinazofanywa katika kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Sehemu ya wanachama wa FORUMCC wakiwa makini kufuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa kujadili matumizi ya nishati jadidifu pamoja na jitihada za Serikali katika kuendeleza sekta hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

RC TELACK AZITAKA HALMASHAURI NA WADAU WA AFYA KUONGEZA JITIHADA KUTOKOMEZA VIFO VYA UZAZI NA WATOTO WACHANGA


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Tathmini ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Uzazi, Lishe na CHF iliyoboreshwa uliokutanisha wadau mbalimbali wa afya mkoani Shinyanga leo Alhamis Februari 27,2020 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Tathmini ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Uzazi, Lishe na CHF...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkatae jirani asiyekuwa na choo kutokomeza magonjwa ya kuhara

KAMPENI ya ‘Mkatae Jirani Asiyekuwa na Choo,’ kwa kushirikiana na makundi mbalimbali inalenga kuondoa tatizo la vyoo mkoani Singida. Sababu ya kuanza kwa kampeni hiyo ni kutokana na mvua kubwa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO


 Na Mbaraka Kambona, Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.

Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU SPIKA WA BUNGE DK.TULIA AUPONGEZA UBALOZI WA UFARANSA NCHINI TANZANIA KWA JITIHADA ZAKE ZA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KULETA MAENDELEO

 Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Fr'eder'ic Clavier(wa nne kutoka kulia) akizungumza jambo wakati wa hafla ya chakula cha usiku ambacho amekiandaa kwa ajili ya mabalozi wa nchi mbalimbali waliopo nchini ambao nchi zao zinazungumza lugha ya Kifaransa.(wa watano kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson akiwa aliyeshiriki kwenya hafla hiyo. Naibu Spika Dk.Tulia Ackson akitoa pongezi kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Fr'eder'ic Clavier kutokana na jitihada zao za kushiriki kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani