Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asha Bakari: Msusi asiyekuwa uwezo wa kuona anavyojikimu kimaisha Uganda

Kama wasemavyo ulemavu sio kutojiweza na pia kuna walio na ulemavu ambao wanaweza kuchangia pakubwa katika kuboresha maisha ya wenzao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Westgate:Msusi aliyenusurika anavyojikimu

Huku Kenya ikiadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi la Westgate jijini Nairobi. Je maisha ya waathiriwa yakoje

 

11 years ago

Dewji Blog

Bi.Asha Bakari Makame (Video Clip)

_1

Makamu Mwenyekiti UWT,Bi. Asha Bakari Makame.

 

11 years ago

Michuzi

Mhe. Asha Bakari Makame kwa umahiri wake wa kupinga udhalilishaji wa kijinsia katika bunge la katiba

 Keki Maalum  ambayo imeandaliwa na baadhi ya Wajumbe Wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kumpongeza Mjumbe wa Bunge hilo Mh. Asha Bakari Makame kwa umahiri wake wa kupinga udhalilishaji wa kijinsia ndani ya Bunge hilo.  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Asha Bakari Makame akitoa shukrani zake kwenye hafla fupi ya Kupongezwa kutokana na kutetea jinsia ya Wanawake ndani ya Bunge la Katiba.   Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Asha Bakari Makame akikata Keki Maalum kuashiria uzinduzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto waliokulia familia korofi wana uwezo wa kukabili matatizo ya kimaisha

Agatha na mumewe Jackob wanaishi katika nyumba ya kupanga ambayo kila mwezi wanatakiwa kulipa bili ya umeme kwa zamu, cha kushangaza Jackob anapokosa fedha hiyo hachanganyikiwi wala kuona aibu kusema sina.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!

Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).

Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.

“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...

 

10 years ago

GPL

WEMA: MAMA’NGU AMEPOTEZA UWEZO WA KUONA KWA 75%!

Mwandishi Wetu Pole sana mama! Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%). Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona

Janga la coronavirus limesababisha matatizo kwa kila mmoja. Lakini je umewahi kujiuliza hali ikoje kwa wasio na uwezo na kuona?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkatae jirani asiyekuwa na choo kutokomeza magonjwa ya kuhara

KAMPENI ya ‘Mkatae Jirani Asiyekuwa na Choo,’ kwa kushirikiana na makundi mbalimbali inalenga kuondoa tatizo la vyoo mkoani Singida. Sababu ya kuanza kwa kampeni hiyo ni kutokana na mvua kubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Anavyojikimu kupitia kwa plastiki Kenya

Lorna Rutto mwanzilishi wa kampuni ya Ecopost inayofanya shughuli ya kubadili taka taka kuwa utajiri barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani