WEMA: MAMA’NGU AMEPOTEZA UWEZO WA KUONA KWA 75%!
![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0iftv4YN*VLsSHIPvx5PwI6LRah7wKUwhopDQd61nYa4dZoRhQJpzX7VpEOrnveJzvRvlorKoYGQfr63Kf8UKi/222.jpg?width=650)
Mwandishi Wetu Pole sana mama! Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%). Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!
Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).
Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.
“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Asha Bakari: Msusi asiyekuwa uwezo wa kuona anavyojikimu kimaisha Uganda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVpLvEXI3paQjxMCt4MdCcA*229cIJ921F6NAbRaugVCFCBhOIO4-Fj7lNRnaD5yQLHooav1s*xO7o-DBd5dcb5S/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MAMA WEMA USIJISAU, WEWE NI MTU MZIMA!MAMA WEMA
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s72-c/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s1600/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza.
KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...
11 years ago
Bongo Movies22 Jun
Matusi ya kwenye mitandao ya kijamii yamuumiza Wema Sepetu kwa kumgusa mama yake Mzazi
Mtandao maarufu wa kijamii wa Instagram umekuwa sehemu ambayo mambo mengi yanafanyika siku hizi na kuwaacha watu wengine wakifurahi, kukasirika na wengine wakitoa machozi kutokana na vita isiyo rasmi inayoendeshwa na team zinazoundwa na mashabiki wanaodai kumlinda mtu fulani maarufu.
Vita ya "team" hizi imekuwa serious zaidi kwa wasanii wa kike na mara nyingi hushambuliana kwa maneno na hata matusi ya nguoni pale mmoja anapotaka kuvuka msitari wa mwingine.
Vita hiyo imemgusa Wema Sepetu...
9 years ago
Bongo518 Dec
Natamani kuona Hisia akiimba kuhusu mazingira, maji, elimu – asema mama yake (Anna Mgwira)
![Hisia TPF_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/Hisia-TPF_full-200x133.jpg)
Mama mzazi wa muimbaji Hisia, Anna Mgwira amesema kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa kazi za mwanaye lakini wanatofautiana tu kwenye maudhui ya nyimbo zake.
Mama Hisia ambaye pia alikuwa mgombea urais kwenye uchaguzi uliopita kupitia ACT, amesema kuwa yeye sio shabiki wa nyimbo za mapenzi ambazo hata mwanaye ndio anazopenda zaidi kuimba.
“Kwanza hapo tunatofautiana mi na yeye kwamba anapenda kuimbaimba nyimbo za mapenzi sana mimi sionagi kitu kipya kwenye hayo mambo.” Alisema Mama Hisia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvtsf80eUzEv34RLbVSCu2wIkhSnYQPsnGLBaJrbX1pedkoOI42ld3PPwwK3g8rH11W9cu0ciK8*H4eN8SDWITH1/wema8.jpg)
MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA