Natamani kuona Hisia akiimba kuhusu mazingira, maji, elimu – asema mama yake (Anna Mgwira)
Mama mzazi wa muimbaji Hisia, Anna Mgwira amesema kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa kazi za mwanaye lakini wanatofautiana tu kwenye maudhui ya nyimbo zake.
Mama Hisia ambaye pia alikuwa mgombea urais kwenye uchaguzi uliopita kupitia ACT, amesema kuwa yeye sio shabiki wa nyimbo za mapenzi ambazo hata mwanaye ndio anazopenda zaidi kuimba.
“Kwanza hapo tunatofautiana mi na yeye kwamba anapenda kuimbaimba nyimbo za mapenzi sana mimi sionagi kitu kipya kwenye hayo mambo.” Alisema Mama Hisia...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Jan
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YATEKELEZA MIRADI YAKE
Video ya Makala haya imeandaliwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Mourinho asema hana wasiwasi kuhusu kazi yake
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s72-c/Lulu-na-mama.png)
LULU ASEMA NYUMBA ALIYOMZAWADIA MAMA YAKE SI YA KUHONGWA, AMEJENGA KWA MIAKA MINNE
![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s640/Lulu-na-mama.png)
Lulu alimpa zawadi hiyo mama yake kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa January, 2015. Je Lulu aliwezaje kufanya mambo makubwa kama hayo katika umri mdogo na kwa kipato cha kuigiza peke yake? Hayo ni maswali ambayo wengi walijiuliza, kiasi cha kuwafanya wengine waamini kuwa labda amehongwa.Lulu amesema...
10 years ago
Bongo506 Oct
AY asema mama yake na Sean Kingston humchukulia kama mwanae,’ hata kwenye Instagram yangu ana comment’
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s72-c/IMG_20150912_115432.jpg)
Taarifa za uongo kuhusu Rambirambi za Msiba wa Mama yake Aslay
Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tariifa siyo za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s640/IMG_20150912_115432.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Waandishi 37 watunukiwa tuzo za maoni yao kuhusu kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji
Twaweza, kama sehemu ya kazi zake kwenye Mpango wa kuendesha shughuli za serikali kwa uwazi (OGP), imetoa tuzo za kompyuta (aina ya laptops) na taa zinazotumia nishati ya jua kwa waandishi 37 kutokana na mawazo yao juu ya namna Serikali na wananchi wanavyoweza kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji.
Shindano hili la kutafuta maoni ya wananchi lilizinduliwa kwa ushirikiano wa Twaweza pamoja na Serikali ya Tanzania mwezi Desemba 2012. Twaweza iliisaidia Serikali...
9 years ago
Bongo525 Nov
Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee
![mike-tee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/01/mike-tee-200x200.jpg)
Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.
Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.
Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.
“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...