Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee
Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.
Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.
Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.
“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 May
Mike Tee ndiye aliyeandika script ya video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA
10 years ago
Bongo512 Jan
New Music: Mike Tee — I Miss You
10 years ago
Michuzi09 Jan
11 years ago
Michuzi31 May
11 years ago
Michuzi30 May
introducing "Ulisema" by BONIFACE & MIKE TEE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm2R5XEZ7-kbRyEthPdAyHlP9tnc4*Dx4TI-pPxcrWSjEtm1nytDk-iduviCYelA-H48p5-xQ35ZvP8qa4qQ0dPU/mike_tee_trans.png?width=600)
MIKE TEE AANDIKA BARUA YA WAZI KWA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI NCHINI
10 years ago
Bongo513 Jan
Alikiba asema ‘soon’ ataachia wimbo na video mpya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6wuwvqmAGlfP9QZxu9cCk4hjD4vYEeNnu9UvnDN-HKjJQyeiQdhp19BvtPpuNfMuFYFg40q2O39nqy8HiYnV34d/pichaaazakupigwa131221_214308.jpg?width=387)
SIKILIZA WIMBO MPYA WA MIKE FT. STIZLE - BIDII
9 years ago
Bongo517 Dec
Timbaland kuachia mixtape yake Dec 25, itakuwa na wimbo wa Aaliyah ambao haujawahi kusikika
![timbaland](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/timbaland-300x194.jpg)
Producer mkongwe ambaye pia ni rapper, Timbaland ametangaza ujio wa mixtape yake mpya ‘King Stays King’ ambayo anatarajia kuiachia kwenye sikukuu ya Krismas Dec.25 mwaka huu.
Miongoni mwa nyimbo zitakazokuwemo kwenye mixtape hiyo ni pamoja na wimbo mpya wa muimbaji wa RnB marehemu Aaliyah ambao haukuwahi kutoka wala kusikika.
Mixtape hiyo itakayokuwa na nyimbo 16 itakuwa na nyimbo walizoshirikisha Young Thug, Rich Homie Quan, Mila J pamoja na Blaze.
“It’s been a while since I’ve been able...