Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Mike Tee — I Miss You

Wimbo mpya kutoka kwa Mike Tee unaitwa “I Miss You” Producer Pancho Latino

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

introducing "Ulisema" by BONIFACE & MIKE TEE

Artist : BONIFACE & MIKE TEE  Song : ULISEMA  Audio Produced By Mike Tee at Mykey Records  Video By Kitaa Video / Visualized By Mike Tee    For any questions comments please don't hesitate to contact us  BoniFace +255 718 756 998   Mail address kitaajoint@gmail.com

 

10 years ago

Bongo5

Mike Tee ndiye aliyeandika script ya video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA

Bila shaka unaikumbua video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA na Alikiba iliyofanyika nchini Kenya na kuongozwa na Kevin Bosco Jr na kutoka January 2015. Script ya video hiyo iliandikwa na rapper Mike Tee ambaye pia ana vipaji vingine vya kutengeneza muziki pamoja na kuongoza video za muziki. Mike Tee a.k.a Mnyalu ameelezea jinsi ilivyokuwa […]

 

11 years ago

GPL

MIKE TEE AANDIKA BARUA YA WAZI KWA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI NCHINI

Msanii wa muziki na CEO wa kampuni ya Showbiz Defined Media Company, Make Tee. Msanii wa muziki na CEO wa kampuni ya Showbiz Defined Media Company, Make Tee ameandika barua ya wazi kwa Watanzania wanaofanya muziki wa injili nchini. Barua hiyo inasomeka kama ifuatavyo:
Ninavyojua muziki wa kwaya unauza sana kuliko muziki wowote Tanzania , Matamasha yao yanajaza watu wengi sana kwasababu moja , hayachagui umri na pale watu wengi...

 

9 years ago

Bongo5

Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee

mike-tee

Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.

mike-tee

Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.

Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.

“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Sampamba Music Ft Jay Mike — Tick Tock

Niwasanii toka Mkoani Iringa Tanzania wanaitwa Sampamba Music wapo chini ya Studio inayojulikana kwa jina la Sampamba Music wametoa wimbo mpya unaitwa “Tick Tock” wamemshirikisha msanii toka Marekani anayejulikana kwa jina la Jay mike Wimbo umefanyika katika studio za Sampamba Music zilizopo Tanzania[Iringa] na Studio za Allusion Muzik zilizopo Marekani. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Miss KK – Anginandaba

I88isBmK

Ngoma mpya ya msanii wa Tanzania anayeishi Durban, Afrika Kusini, Miss KK. Inaitwa Anginandaba na ameiamba kwa Kiswahili na Kizulu.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

MO MUSIC KUTUMBUIZA MISS CHANG'OMBE


Warembo wanaowania taji la  Miss Chang'ombe wakiwa katika pozi, shindano hilo litafanyika Juni 27 katika ukumbi wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam.    Na Mwandishi Wetu
MKALI wa kibao cha Basi Nenda Moshi Katemi 'Mo Music' anatarajia kutumbuiza katika shindano la kanda ya Temeke, litakalofanyika Julai 27, katika ukumbi wa TCC Club Chang’ombe. Mo Music ambae anatamba na kibao hicho atakuwa sambamba na bendi ya Ruvu Stars, mchekeshaji nyota na msanii wa muziki Mussa 'Kitale' na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani