Alikiba asema ‘soon’ ataachia wimbo na video mpya
Msanii wa muziki, Alikiba amesema kuwa baada ya kuona wimbo wa “Mwana” umefanya vizuri anatarajia kuachia wimbo mpya ambao utakuja pamoja na video. Akizungumza na Planet Bongo ya EATV, Kiba amesema hana muda wa kusubiria kama mwanzo, sasa hivi ni ngoma baada ya ngoma. “Kinachofuata ni kazi kama nilivyo wa-promise before, hakuna gape, kwaiyo soon […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Dec
Wimbo mpya wa Alikiba ‘Hela’ wavuja, usikilize hapa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4E69b26xL0g/VJq9H--_LmI/AAAAAAAArSA/J2wYpQc1Hu0/s72-c/ali%2Bkiba%2Bhela.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WCrGKnurb58/VKoK9wdvMfI/AAAAAAADURI/kUQGaRDVP3c/s72-c/k.jpg)
ALIKIBA AWAJIBU WANAODAI VIDEO YAKE YA WIMBO WA ‘MWANA’ NI MBOVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCrGKnurb58/VKoK9wdvMfI/AAAAAAADURI/kUQGaRDVP3c/s1600/k.jpg)
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo
10 years ago
Bongo516 Mar
Jermaine Dupri asema wimbo mpya ya Ciara ‘I Bet’ ni copy ya ‘U Got It Bad’ ya Usher
10 years ago
Vijimambo30 Nov
9 years ago
Bongo525 Nov
Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee
![mike-tee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/01/mike-tee-200x200.jpg)
Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.
Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.
Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.
“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...
10 years ago
Bongo529 Oct
New Music: Nicki Minaj asema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na Drake wala Lil Wayne kwenye wimbo mpya ‘Only’
9 years ago
Bongo515 Oct
Video: Kionjo cha video ya wimbo mpya ya Quick Rocka ‘Queen’ iliyoongozwa na Khalfani na Raqey