Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alikiba asema ‘soon’ ataachia wimbo na video mpya

Msanii wa muziki, Alikiba amesema kuwa baada ya kuona wimbo wa “Mwana” umefanya vizuri anatarajia kuachia wimbo mpya ambao utakuja pamoja na video. Akizungumza na Planet Bongo ya EATV, Kiba amesema hana muda wa kusubiria kama mwanzo, sasa hivi ni ngoma baada ya ngoma. “Kinachofuata ni kazi kama nilivyo wa-promise before, hakuna gape, kwaiyo soon […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Wimbo mpya wa Alikiba ‘Hela’ wavuja, usikilize hapa

Siku chache baada ya kuachia video yake ya wimbo wake ‘Mwana’, wimbo mpya wa Alikiba ‘Hela’ umevuja. Usikilize hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

ALIKIBA AWAJIBU WANAODAI VIDEO YAKE YA WIMBO WA ‘MWANA’ NI MBOVU

Hatimaye Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki walioikosoa video ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile kinachoimbwa.Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Alikiba amesema alichokifanya alimaanisha hivyo kuleta picha mpya kwenye vichwa vya watu.“Utofauti wa video ndio uzuri wake kwa sababu kila mtu kwenye mind yake amejenga video, ame-make video itakuwa vipi,” amesema. Kwa sababu nyimbo imeelezea vitu vingi ni pana kama unavyoona na ina vitu vingi madawa,...

 

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

10 years ago

Bongo5

Jermaine Dupri asema wimbo mpya ya Ciara ‘I Bet’ ni copy ya ‘U Got It Bad’ ya Usher

Producer mkongwe wa Marekani, Jermaine Dupri amesema kuwa wimbo mpya wa muimbaji wa kike wa R&B Ciara uitwao ‘I Bet’ unafanana sana na wimbo wa zamani wa Usher ‘U Got It Bad’. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Dupri (42) amesema kuwa anauhakika na kile anachokisema kwasababu yeye ndiye producer wa wimbo wa Usher uliotoka mwaka […]

 

9 years ago

Bongo5

Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee

mike-tee

Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.

mike-tee

Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.

Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.

“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nicki Minaj asema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na Drake wala Lil Wayne kwenye wimbo mpya ‘Only’

Nicki Minaj ameachia rasmi single mpya iitwayo ‘Only’ kama alivyoahidi, ambayo kawashirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne. Hii ni single ya tatu kutoka kwenye album yake mpya itakayotoka Dec.16, ‘The Pink Print’. Katika ‘Only’ Minaj amesema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na wasanii aliowashirikisha yaani Lil Wayne na Drake katika maisha yake. Mwanzoni kabisa mwa wimbo […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Kionjo cha video ya wimbo mpya ya Quick Rocka ‘Queen’ iliyoongozwa na Khalfani na Raqey

Quick Rocka amefanya video mpya na muongozaji aliyefanya video yake iliyopita, Khalfani na safari hii wameongeza nguvu ya director mwingine wa I-View studios Raqey. Katika akaunti yake ya Instagram Quick ameshare kionjo cha video hiyo ya wimbo wake mpya uitwao ‘Queen’ na kuandika “#NewVideoAlert#NewSongAlert….Mbeya City yo boy is coming.#Oct17#Queen# @director_khalfani & @raqey_allaraqya on this one.” […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani