Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa za uongo kuhusu Rambirambi za Msiba wa Mama yake Aslay

Kuna mtu anatumia akaunti feki ya msanii wa Yamoto Band Enock Bella akiomba kutumiwa rambirambi ya msiba wa mama mzazi wa Aslay Isihaka Ambaye amefariki Dunia leo asubuhi.
Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tariifa siyo za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake

Muibaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka aliyefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni, amesema mafaniko aliyopata katika muziki wake yametokana na mama yake. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa mama yake ndio alikuwa akimsihi na kumtia moyo katika muziki wake. “Wakati naanza muziki kabisa nafikiri mama yangu ndio alikuwa ani-support kwa kusema ‘mwanangu nenda huku […]

 

10 years ago

Dewji Blog

JK atuma salam za rambirambi za msiba wa mama mzazi wa Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale, mwili wasafirishwa kwenda Mbeya leo kwa mazishi

   Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene  na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale  Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti  Shughuli za Vijana Taifa. IMG_9952

Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumu mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemam


Ratiba fupi ya shughuli za msiba wa mama Theonestina Rweyemamu ni kama ifuatavyo: Kuaga Mwili wa Marehemu Mama Theonestina Rweyemamu itakuwa Jumatano tarehe 5 Februari 2014 kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku. Mahala: Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550; Misa ya Kumwombea Marehemu itakuwa saa nne asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 6 Februari 2014 kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu au Sacred Heart Church. Mahala: 115 Sharpe Blvd., South Mount Vernon, NY...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM YAWASHIKILIA MUME,MKE KWA TUHUMA ZA KUENEZA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia watu wawili ambao ni mume na mke kwa tuhuma na kueneza taarifa za uongo kwa wananchi kuhusu ugonjwa COVID-19(Corona) na kwamba watafikishwa mahakamani wakati wowote.

Akizungumza leo  Machi 27 mwaka 2020 ,Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema watu hao wamekamatwa Machi 20 mwaka huu saa saba mchana  wakiwa kwenye daladala aina ya Toyota DCM...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA DADA YAKE LOVENESS MAMUYA


Watanzania  tujumuike na dada yetu Loveness Mamuya, na kuhudhuria msiba wa  kifo cha  dada yake mpendwa MERCY MAMUYA MTUI kilichotokea leo alfajiri Tanzania.

Kwa wakazi wa DMV na vitongoji vyake msiba upo nyumbani kwa Bi Loveness Mamuya.

 kama ilivyo mila na desturi yetu tunaomba tumfariji katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.

ADDRESS:  1005 Meandaring way Odeton MD 21113

NAMBA YA SIMU: LOVENESS MAMUYA:240-4230437

       AZIZI: 301-768-9195  


Mwenyezi mungu amlaze marehemu mahala pema...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA: MAMA MZAZI WA SAID MDOE WA SALUTI5 AFARIKI DUNIA

MAMA mzazi wa mmiliki wa mtandao wa Saluti5, Said Mode - Bi Desta Mohamed - amefariki ghafla Jumatatu ya tarehe 31/3/2014 saa 1 za jioni.
 Alipata homa kali Jumapili mchana, akapelekwa hospitali (IMTU) akapata matibabu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Hali yake haikuwa mbaya wala ya kutia mashaka.
 Jumatatu akaamka vizuri na akashinda vizuri hadi saa 12 za jioni hali ipoanza kubadilika tena. Akafariki akiwa njiani kupelekwa hospitali. Msiba uko Dar es Salaam, Mbezi Beach Old...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Taarifa ya Msiba wa mama Theonestina Rweyemamu huko new york, marekani

Kufuatia taarifa ya msiba tuliyowatumia jana, tunapenda kuwakumbusha kwamba watoto wa marehemu na ndugu na jamaa watakuwepo nyumbani leo na mnaweza kwenda kuwafariji na kutoa rambi rambi zenu wakati wowote. Address ni:  40 East Sidney Avenue,  Apt # 10C , Mount Vernon,  NY 10550.  Na namba ya simu ya nyumbani ni 914-667-6456. 
Bado harambe ya kutafuta dolla 10,000 za kufanikisha mipango ya mazishi inaendelea.  Tunawaomba mtafute walau muda mchache mweze kujumuika na Watanzania wenzetu...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI ZA MSIBA WA MAMA MZAZI WA KULWA,DOTTO NA NICO MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA LEO KWA MAZISHI.

  Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene  na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale  Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti  Shughuli za Vijana Taifa  Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumumama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa kuombewa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani