JK atuma salam za rambirambi za msiba wa mama mzazi wa Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale, mwili wasafirishwa kwenda Mbeya leo kwa mazishi
Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya
Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti Shughuli za Vijana Taifa.
Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumu mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI ZA MSIBA WA MAMA MZAZI WA KULWA,DOTTO NA NICO MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA LEO KWA MAZISHI.
10 years ago
GPLMAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI
10 years ago
Michuzi14 Dec
Matukio Msiba wa Mama mzazi wa Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar es salaam leo
Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa katika msiba wa marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu, ambaye ni mama mzazi wa wanahabari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboMAZISHI YA MAMA YAO MZAZI WA WANAHABARI DOTTO, KULWA NA NICO MWAIBALE KATIKA KIJIJI CHA KIBUMBE RUNGWE MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WWbse34cnM4/VJF5mMKLvLI/AAAAAAAAyAM/71vn_M9V7tM/s1600/IMG-20141217-WA0046.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W-6W-ihyXR0/VJF5f82Jg7I/AAAAAAAAx_8/x--PHwg3Dl8/s1600/IMG-20141217-WA0042.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lTCMgzhDLc/VJF5fXHVDYI/AAAAAAAAx_s/GF_RQIi_4iY/s1600/IMG-20141217-WA0025.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sEfeJQ6lSi0/VJF5fRP7WpI/AAAAAAAAx_w/EQZ_Anzsi84/s1600/IMG-20141217-WA0028.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eJOurMoyKQo/VJF5mCV4AnI/AAAAAAAAyAQ/9zD6WcOT2vM/s1600/IMG-20141217-WA0045.jpg)
10 years ago
VijimamboMatukio Msiba wa Mama Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar
10 years ago
MichuziUPDATES YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR
10 years ago
GPLMATUKIO MSIBA WA MAMA DOTTO, KULWA NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u4TxkF23Czw/VJFEwYy3YWI/AAAAAAAG3tM/xylSdPFxDCM/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
Updates za msiba wa mama mzazi wa wapiganaji Dotto na Kulwa Mwaibale
![](http://3.bp.blogspot.com/-u4TxkF23Czw/VJFEwYy3YWI/AAAAAAAG3tM/xylSdPFxDCM/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pFSKpDo29ME/VJFEwtOBP3I/AAAAAAAG3tQ/xmFt9Lqw2d8/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YckrdyF24ow/VJFHQ71AhOI/AAAAAAAG3to/s7p2EqAX1XE/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0wNVeGpbpgE/VJFHQp8Z47I/AAAAAAAG3tk/26QxlcdyCag/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Mwili wa Dotto Mzava wa JF wasafirishwa kwenda Same kwa mazishi
Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Jamii Forum, Dotto Mzava likishushwa kwenye gari maalum mara baada ya kuwasili katika Kanisa la Wasabato Manzese Uzuri jijini Dar kwa ajili ya sala ya kabla ya kusafirishwa kuelekea Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro leo.
Mchungaji wa Kanisa la Adventist Wasabato akiendelea na ibada wakati wa ibada ya kumuombea marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Same, Kilimanjaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Jamii Media, Maxence Mello...