Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio Msiba wa Mama mzazi wa Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar es salaam leo

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake
 Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa katika msiba wa  marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu, ambaye ni mama mzazi wa wanahabari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waombolezaji wakiwa kwenye msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika jijini Dar es Salaam.Kwa picha zaidi BOFYA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Matukio Msiba wa Mama Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa katika msiba wa  marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu, ambaye ni mama mzazi wa wanahabari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya waombolezaji...

 

10 years ago

GPL

MATUKIO MSIBA WA MAMA DOTTO, KULWA NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR‏

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake.  Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa katika msiba wa  marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu, ambaye ni mama mzazi wa wanahabari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam.…

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR

Mwili wa  marehemu,   Bi. Twitikege Mlagha Mafumu utaagwa kesho saa 4 asubuhi katika Hospitali ya Wilaya ya Temeke kisha kupelekwa katika Kijiji cha Kibumbe, wilayani Rungwe mkoani Mbeya ambapo atazikwa Desemba 17 alasiri.Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake Meneja Mkuu  wa Global Publishers Limited Bwana. Abdalah Mrisho akitoa mkono wa pole kwa  Dada mkubwa wa kina Mwaibale Mwalimu Mary Anyitike

Mwanahabari Kulwa Mwaibale (mwenye Fulana nyekundu) akiwatambulisha wafanyakazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK atuma salam za rambirambi za msiba wa mama mzazi wa Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale, mwili wasafirishwa kwenda Mbeya leo kwa mazishi

   Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene  na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale  Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti  Shughuli za Vijana Taifa. IMG_9952

Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumu mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa...

 

10 years ago

GPL

MAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI

 Meneja Mkuu  wa Global Publishers Limited Bwana. Abdalah Mrisho akitoa mkono wa pole kwa  Dada mkubwa wa kina Mwaibale Mwalimu Mary Anyitike

Mwanahabari Kulwa Mwaibale (mwenye Fulana nyekundu) akiwatambulisha wafanyakazi wenzake wa Kampuni ya Global Publisher kwa wanafamilia.…

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI ZA MSIBA WA MAMA MZAZI WA KULWA,DOTTO NA NICO MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA LEO KWA MAZISHI.

  Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene  na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale  Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti  Shughuli za Vijana Taifa  Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumumama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa kuombewa,...

 

10 years ago

Michuzi

Updates za msiba wa mama mzazi wa wapiganaji Dotto na Kulwa Mwaibale

 Ankal akiwa na wapiganaji Dotto (shoto) na Kulwa Mwaibale wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa marehemu mama yao Mzazi hospitali ya Temeke jana. Habari zinasema wafiwa na mwili wa marehemu wamefika salama Mwankenja wilayani Rungwe  mkoani Mbeya ambako mazishi yanatarajiwa kufanyika leoWafiwa Dotto na Kulwa Mwaibale wakifarijiwa  na wapiganaji wenzao  kutoka kushoto Richard Mwaikenda, Eric Shigongo, Ankal, Benny Kisaka na Abdallah Mrisho waombolezaji msibani huko Mwankenja, Mbeya Kaburi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA MAMA YAO MZAZI WA WANAHABARI DOTTO, KULWA NA NICO MWAIBALE KATIKA KIJIJI CHA KIBUMBE RUNGWE MBEYA.

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wakeMwili wa Marehemu Twitikege Mlagha Mafumu ukiifadhiwa katika nyumba yake ya Milele katika  kijiji cha Kibumbe,Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya leo Ndugu wa Marehemu wakiwa katika majonzi  Wanahabari wakiwa katika Msiba huo Picha na Tukio kamili Baadae Na Mbeya yetu

 

10 years ago

Vijimambo

KUELEKEA SIKUKUU YA KRISMASI WANAHABARI KULWA NA DOTTO MWAIBALE WAZURU KABURI LA MAMA YAO‏

Wanahabari Kulwa na Dotto Mwaibale, (kulia), wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mpendwa mama yao Twitikege Mafumu Mlagha, aliyefariki Desemba 13 mwaka huu jijini Dar es Salaam na kuzikwa Desemba 17 nyumbani kwake Kijiji cha Kibumbe Kiwira wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Mapacha hao walizuru katika kaburi hilo jana.Kulwa na Dotto wakiwa wamekaa juu ya kaburi la baba yao mzee Anyitike Mwakwama Mwaibale aliyefariki January 28 mwaka 2007 huku wakilitizama kaburi la mama yao. Dotto Mwaibale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani