Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake
Muibaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka aliyefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni, amesema mafaniko aliyopata katika muziki wake yametokana na mama yake. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa mama yake ndio alikuwa akimsihi na kumtia moyo katika muziki wake. “Wakati naanza muziki kabisa nafikiri mama yangu ndio alikuwa ani-support kwa kusema ‘mwanangu nenda huku […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s72-c/IMG_20150912_115432.jpg)
Taarifa za uongo kuhusu Rambirambi za Msiba wa Mama yake Aslay
Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tariifa siyo za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s640/IMG_20150912_115432.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Izzo Bizness adai hawezi kutoa wimbo bila mama yake kuupitisha
![Izzo B.psd_](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Izzo-B.psd_-300x194.jpg)
Rapper Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize kwanza.
Izzo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Bizness’ na alipoupitisha ukawa na mafanikio makubwa.
“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe,” alisema.
“Nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa wimbo huwa wanawapa watangazaji, madj na wadau wengine wa muziki. Lakini mimi mama yangu ndio amekuwa...
9 years ago
Bongo504 Dec
Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake
![21362c1c39-KEKO-NU](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/21362c1c39-KEKO-NU-300x194.jpg)
Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.
Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.
Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.
“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.
Hivi ndivyo alivyoandika:
I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
9 years ago
Bongo521 Sep
Maurice Kirya kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake Ijumaa hii
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PIJUTubi-U8/Xr_LGTECp-I/AAAAAAAC5cA/aMOU_ZokYIYpwY00EUKo2EN8a4Ol7phuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...