Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mmoja ya washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa inaendeshwa na Vodacom Tanzania iliyomalizika mwezi Aprili mwaka huu Irene Mrema, amesema tangu aibuke na ushindi amepata mafanikio makubwa mojawapo ikiwa ni kuweza kujenga nyumba ya kuishi na familia yake maeneo ya Goba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. “Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunikwamua kimaisha kupitia Jaymillion ya Vodacom kwa kuwa imeleta mafanikio makubwa katika maisha yangu na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1wyhjxp9W8Rfg8d81UTaKMRSsJ0254fiIMJEDRC4rBekBq2RB7aB5QWSk1rV5fUOI3jW-VFysexofxcj85zdavo/001.JAYMILLIONS.jpg?width=650)
MSHINDI WA JAY MILLIONS AFUNGUKIA MAFANIKIO YAKE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s72-c/20140320_120840-1.jpg)
MSHINDI WA TUZO YA MWANAMAKUKA AKATIWA BIMA YA KULINDA BIASHARA YAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s1600/20140320_120840-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dCOC5XZx5ek/UywDbh4qaxI/AAAAAAACdJI/pqOavpgCf5k/s1600/20140320_121313_edit.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi
Mazungumzo yake na Azam Tv Yaliyorushwa Leo Asubuhi akihojiwas na Tido Mhando Tuesday, September 8, 2015 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake […]
The post Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Bongo513 Oct
Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wq1eKomxoW0/VME0RyGIfaI/AAAAAAAAnAk/uKmMK8pVQBI/s72-c/idrisaa13.jpg)
dris Mshindi wa BBA Aonyesha Nyumba yake Aliyonunua na Kutoa Ujumbe Mkali kwa Mashabiki wake
![](http://3.bp.blogspot.com/-wq1eKomxoW0/VME0RyGIfaI/AAAAAAAAnAk/uKmMK8pVQBI/s640/idrisaa13.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s640/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ebola:Liberia sasa kufungua mipaka yake
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nassari atambia mafanikio yake
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.