Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi
Mazungumzo yake na Azam Tv Yaliyorushwa Leo Asubuhi akihojiwas na Tido Mhando Tuesday, September 8, 2015 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake […]
The post Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Dk Slaa atimkia Marekani, nyumba italindwa na polisi
9 years ago
Vijimambo08 Sep
DR SLAA ATIMKIA MAREKANI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2862240/medRes/1112874/-/pm9lgj/-/pic+dk+slaa.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake kwa mapumziko.
Hata hivyo, taarifa zinasema Dk. Slaa amekwishandoka nchini kuelekea Marekani pamoja na familia yake tangu jana jioni.
Huku akiwa Marekani kupumzika na kujiendelea katika kozi fupi katika tasnia ya Sheria na Lugha, Dk. Slaa amesema nyumba yake itakuwa chini...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Dodoma wamuaga polisi aliyekufa maji na familia yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j2xJlO9tpSDMRAsGEi2VI796LeqDmGnSl4WyBo-FEMxkJGm4TxxOl-Ctn9kPyXLY5RjJEKOxsVDdlz9pvAUZM7Q/ChrisBrownMain.jpg)
POLISI: CRIS BROWN ALIKUWA ANAFUATILIWA KLABU KABLA YA NYUMBA YAKE KUVAMIWA
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AIFARIJI FAMILIA YA RUBANI WILLIAM SLAA
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Nyumba ya serikali yagawa familia
NI miaka nane sasa tangu Mahakama ya Mwanzo ya Iyunga jijini Mbeya ilipoamua kuvunja ndoa ya Simbonea Kileo na Gladness Kimaro. Kuvunjwa kwa ndoa hiyo kumeigawa zaidi familia hiyo baada...
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...