DR SLAA ATIMKIA MAREKANI
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake kwa mapumziko.
Hata hivyo, taarifa zinasema Dk. Slaa amekwishandoka nchini kuelekea Marekani pamoja na familia yake tangu jana jioni.
Huku akiwa Marekani kupumzika na kujiendelea katika kozi fupi katika tasnia ya Sheria na Lugha, Dk. Slaa amesema nyumba yake itakuwa chini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Dk Slaa atimkia Marekani, nyumba italindwa na polisi
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi
Mazungumzo yake na Azam Tv Yaliyorushwa Leo Asubuhi akihojiwas na Tido Mhando Tuesday, September 8, 2015 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake […]
The post Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s72-c/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
KATIBU MKUU DK. WILLIBROD SLAA ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s1600/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
Ziara hii ya siku tisa ni mwaliko wa Gavana wa Jimbo la Indiana Mike Pence pamoja na taasisi mbalimbali za nchini humo ikiwemo vyuo vikuu kutokana na kutambua mchango wa kisiasa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZqiOx8KlkvI/default.jpg)
9 years ago
MichuziCHADEMA tawi la MAREKANI yakanusha Taarifa kuhusu kuwapokea Dr Wilbroad Slaa na Mheshimiwa Freeman Mbowe hapa
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQ6QgfHLAKbIJZgna0skwyjV5Wy6p-7UYtLKTbFhxPH-GfDwu2zec-*Er025DMt2favZtikYR6BvBUivJKyiP58/chidi.jpg)
ALIYEPIGWA NA CHID ATIMKIA SAUZI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-B6syCL2hAAM/XtPpHfB_wMI/AAAAAAABn-s/8CAJrD8xY5YE6EhO_3_b2G4VESOL-9u5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot-2020-05-31-at-15.21.31.png)
MWENYEKITI ATIMKIA CCM NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-B6syCL2hAAM/XtPpHfB_wMI/AAAAAAABn-s/8CAJrD8xY5YE6EhO_3_b2G4VESOL-9u5wCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot-2020-05-31-at-15.21.31.png)
Bwana Limu ambaye ameshika nafasi mbali mbali katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kipindi cha takribani miaka 28 sasa ameamua kukihama chama hicho baada ya kuridhishwa na utendaji wa Rais Dkt.John Pombe Magufuli na kuondoka na viongozi wengine wa chama...
11 years ago
Habarileo12 Jun
Mwenyekiti Chadema atimkia CCM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mbinga, Desderius Haule amekihama chama hicho na kujiunga na CCM.