Mwenyekiti Chadema atimkia CCM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mbinga, Desderius Haule amekihama chama hicho na kujiunga na CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200530-WA0046.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA SINGIDA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0046.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe (kulia) akimkabidhi kadi ya CCM, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Shabani Limu baada ya kujiunga na chama hicho mwishoni mwa wiki.
![](https://1.bp.blogspot.com/-xixi-Vm3Wbw/XtNmL6PKFjI/AAAAAAAAMas/MdyDR3w5kc0Nj09IGMgkoKJ1iHZDyaZjgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0043.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe, akionesha kadi ya Chadema baada ya kukabidhiwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5OrGuIheAIg/XtNmL-kBmXI/AAAAAAAAMaw/moLyiaV_kgIERMjqKT91RTjxYuFcK1R1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0047.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-B6syCL2hAAM/XtPpHfB_wMI/AAAAAAABn-s/8CAJrD8xY5YE6EhO_3_b2G4VESOL-9u5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot-2020-05-31-at-15.21.31.png)
MWENYEKITI ATIMKIA CCM NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-B6syCL2hAAM/XtPpHfB_wMI/AAAAAAABn-s/8CAJrD8xY5YE6EhO_3_b2G4VESOL-9u5wCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot-2020-05-31-at-15.21.31.png)
Bwana Limu ambaye ameshika nafasi mbali mbali katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kipindi cha takribani miaka 28 sasa ameamua kukihama chama hicho baada ya kuridhishwa na utendaji wa Rais Dkt.John Pombe Magufuli na kuondoka na viongozi wengine wa chama...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka CHADEMA na kuhamia CCM leo February 18, 2020 na kupokelewa na Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
“Baada ya kutafakari mwenendo mzima wa siasa na uchumi nchini na kuangalia kina nani wako tayari nikaona kwa upande wetu Chadema bado tuko mbali sana kuchochea mambo haya ya maendeleo,”- Amesema Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent MashinjiAliyekuwa Katibu Mkuu...
5 years ago
MichuziAliyewahi kuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Njombe atimkia CCM
Aliyewahi kuwa katibu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Njombe aliyepokelewa nafasi hiyo kwenye chaguzi za ndani za chama hicho mwaka 2019 Ndugu Alatanga Nyagawa,Leo ametangaza kukihama chama hicho na kurejea CCM kwa madai ya kukosekana kwa ajenda ndani ya upinzani.
Vile vile Alatanga amesema hakuna ubishi kwamba Serikali ya awamu ya Tano imepiga hatua kubwa katika shughuli za maendeleo na upinzani umekosa ajenda.
Alatanga ambaye aliwahi...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
5 years ago
CCM BlogALIYEKUWA MENEJA KAMPENI WA MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS CHADEMA ATIMKIA CCM
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati nyingi...
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Mbunge Chadema amwokoa mwenyekiti CCM
Mbunge wa Serengeti (Chadema), Marwa Ryoba amemnusuru Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Merenga (CCM), Mathias Kibuko mikononi mwa nguvu ya umma, baada ya kumlipia Sh100,000 anazotuhumiwa kutafuna kwa kuuza mifugo ya wananchi aliyoikamata.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania