MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA SINGIDA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200530-WA0046.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe (kulia) akimkabidhi kadi ya CCM, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Shabani Limu baada ya kujiunga na chama hicho mwishoni mwa wiki.
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe, akionesha kadi ya Chadema baada ya kukabidhiwa.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Jun
Mwenyekiti Chadema atimkia CCM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mbinga, Desderius Haule amekihama chama hicho na kujiunga na CCM.
5 years ago
MichuziAliyewahi kuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Njombe atimkia CCM
Aliyewahi kuwa katibu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Njombe aliyepokelewa nafasi hiyo kwenye chaguzi za ndani za chama hicho mwaka 2019 Ndugu Alatanga Nyagawa,Leo ametangaza kukihama chama hicho na kurejea CCM kwa madai ya kukosekana kwa ajenda ndani ya upinzani.
Vile vile Alatanga amesema hakuna ubishi kwamba Serikali ya awamu ya Tano imepiga hatua kubwa katika shughuli za maendeleo na upinzani umekosa ajenda.
Alatanga ambaye aliwahi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s72-c/1439111816672.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s640/1439111816672.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-B6syCL2hAAM/XtPpHfB_wMI/AAAAAAABn-s/8CAJrD8xY5YE6EhO_3_b2G4VESOL-9u5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot-2020-05-31-at-15.21.31.png)
MWENYEKITI ATIMKIA CCM NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-B6syCL2hAAM/XtPpHfB_wMI/AAAAAAABn-s/8CAJrD8xY5YE6EhO_3_b2G4VESOL-9u5wCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot-2020-05-31-at-15.21.31.png)
Bwana Limu ambaye ameshika nafasi mbali mbali katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kipindi cha takribani miaka 28 sasa ameamua kukihama chama hicho baada ya kuridhishwa na utendaji wa Rais Dkt.John Pombe Magufuli na kuondoka na viongozi wengine wa chama...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka CHADEMA na kuhamia CCM leo February 18, 2020 na kupokelewa na Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
“Baada ya kutafakari mwenendo mzima wa siasa na uchumi nchini na kuangalia kina nani wako tayari nikaona kwa upande wetu Chadema bado tuko mbali sana kuchochea mambo haya ya maendeleo,”- Amesema Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent MashinjiAliyekuwa Katibu Mkuu...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM