MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Wawi Mkoa wa Kusini Pemba (CUF), Ahmed Juma Ngwali (mwenye flana nyekundu) amejivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s72-c/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA WAWI CUF VISIWANI PEMBA AJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s640/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pBr9sPRm5GA/Xl00-Q25lDI/AAAAAAALgcY/YSvBzKhnhGc9oFbBu18QoFJVaWXCJ6liQCLcBGAsYHQ/s640/5T7A1882AA-768x512.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa amepokea maombi ya Mbunge wa Jimbo la Wawi kwa tiketi ya CUF kuomba kujiunga na CCM.
Hatua hiyo imekuja baada ya Ndugu Ahmed Juma Ngwali kuusimamisha msafara wa Ndugu Polepole, kuomba kujiunga na CCM na kutangaza kujivua nafasi zake zote ndani ya Chama cha CUF.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7a8-clDw1U/Xl00-NbaaWI/AAAAAAALgcU/VVnlOq-3k4kJjAxu9CLvTV3tmSMgrUrYgCLcBGAsYHQ/s640/5T7A1682AAA-768x512.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gtIiLE8MvJQ/VMkYUhAk_VI/AAAAAAACy2E/yo-lITmyoaI/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE NDANI YA CHAKE CHAKE MKOA WA KUSINI PEMBA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gtIiLE8MvJQ/VMkYUhAk_VI/AAAAAAACy2E/yo-lITmyoaI/s1600/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-K4OxcKKgUO0/VMkYVBgw-WI/AAAAAAACy2M/D_tRHXuPWNY/s1600/8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200530-WA0046.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA SINGIDA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0046.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe (kulia) akimkabidhi kadi ya CCM, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Shabani Limu baada ya kujiunga na chama hicho mwishoni mwa wiki.
![](https://1.bp.blogspot.com/-xixi-Vm3Wbw/XtNmL6PKFjI/AAAAAAAAMas/MdyDR3w5kc0Nj09IGMgkoKJ1iHZDyaZjgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0043.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe, akionesha kadi ya Chadema baada ya kukabidhiwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5OrGuIheAIg/XtNmL-kBmXI/AAAAAAAAMaw/moLyiaV_kgIERMjqKT91RTjxYuFcK1R1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0047.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hushKZw6ME8/Xl5-yEWaELI/AAAAAAACz_Q/TKA5Emz-qFIUgYYe4wJrYvJuZDqrCHCyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
MBUNGE WA JIMBO LA OLE ATIMKIA CCM NA ZAIDI YA WANACHAMA 564 KUMFUATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hushKZw6ME8/Xl5-yEWaELI/AAAAAAACz_Q/TKA5Emz-qFIUgYYe4wJrYvJuZDqrCHCyQCLcBGAsYHQ/s640/1.webp)
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mapinduzi-CCM, Mbunge huyo akiambatana na Wanachama wa CUF na ACT 564 amepokelewa na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SgS3LzAyaWA/Xl5_Ut_E9XI/AAAAAAACz_Y/97YxPlQIWysvnzUQ85YtFW5yI91k-UP5wCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
MichuziAliyewahi kuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Njombe atimkia CCM
Aliyewahi kuwa katibu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Njombe aliyepokelewa nafasi hiyo kwenye chaguzi za ndani za chama hicho mwaka 2019 Ndugu Alatanga Nyagawa,Leo ametangaza kukihama chama hicho na kurejea CCM kwa madai ya kukosekana kwa ajenda ndani ya upinzani.
Vile vile Alatanga amesema hakuna ubishi kwamba Serikali ya awamu ya Tano imepiga hatua kubwa katika shughuli za maendeleo na upinzani umekosa ajenda.
Alatanga ambaye aliwahi...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YZahbBOF8yA/VdmhS0rH4dI/AAAAAAAB6Ck/gVPLcCLDieA/s72-c/DSC_3937.jpg)
Harambee ya kuchangia mfuko wa Maendeleo Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://3.bp.blogspot.com/-YZahbBOF8yA/VdmhS0rH4dI/AAAAAAAB6Ck/gVPLcCLDieA/s640/DSC_3937.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J9vJBfqrRLk/VdmhSuxZ0rI/AAAAAAAB6Cg/MH8HHcOodGE/s640/DSC_3945.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OtjnUny52Vs/U6XOMnGMc4I/AAAAAAAFsLU/XM3MJDhSk5g/s72-c/748.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Kisiwa cha panza, Mkoa wa Kusini Pemba.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHUBUyXIoJs/Vf7an9JH7bI/AAAAAAAH6WM/njFM7l8wuNI/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)