MBUNGE WA JIMBO LA WAWI CUF VISIWANI PEMBA AJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s72-c/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa amepokea maombi ya Mbunge wa Jimbo la Wawi kwa tiketi ya CUF kuomba kujiunga na CCM.
Hatua hiyo imekuja baada ya Ndugu Ahmed Juma Ngwali kuusimamisha msafara wa Ndugu Polepole, kuomba kujiunga na CCM na kutangaza kujivua nafasi zake zote ndani ya Chama cha CUF.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s72-c/mbg.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum CCM Lindi ajiunga na CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s640/mbg.jpg)
Na Khamis Haji OMKR
Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi kutoka mkoa wa Lindi, Riziki Said Rurida amekihama chama hicho na kuhamia Chama cha Wananchi CUF.
Rurida alitangaza kukihama chama hicho na kukabidhiwa kadi ya CUF na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara wa CUF...
10 years ago
Mwananchi30 May
Hamad Rashid: Mbunge wa Jimbo la Wawi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A2733AA-768x512.jpg)
MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s640/5R7A2733AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/5R7A2801AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s72-c/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CUF ajiunga na ACT wazalendo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s640/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
9 years ago
VijimamboMkutano wa vyama vinavyounda UKAWA Wawi, Chakechake Pemba
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HPPQfWmTARw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-clL2nDEuvPE/XlUU-vC6TmI/AAAAAAALfSM/xdLI1OOJJUMLQXlv-vZ-GVEcaso_DX3HwCLcBGAsYHQ/s72-c/5195b03b-c739-4e0e-8583-a45d211463c8.jpg)
PIGO JINGINE CHADEMA, MWENYEKITI WA JIMBO LA BUNDA AJIUNGA NA CCM LEO
WANAISHA! Hiyo ndilo neno unaloweza kusema kutokana na wimbi la viongozi wa upinzani wanaohama vyama vyao na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Baada ya jana madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wakiongozwa na Mstahiki Meya, David Mwashilindi kuihama Chadema na kuhamia CCM, leo tena Diwani kutoka Kata ya Hunyari iliyopo Halmashauri ya Bunda mkoani Mara ametangaza kuhama Chadema na kuhamia CCM.
Makina ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Bunda na Mjumbe wa Mkutano...
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CUF wamkimbiza mbunge wa CCM
Na Ally Badi, Lindi
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Kawawa, juzi alifukuzwa na vijana wa Kijiji cha Makinda waliokuwa na mawe na magongo wakati akijiandaa kufanya mkutano wa hadhara.
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Makinda kilichopo Kata ya Kipule Wilaya ya Liwale, Salum Salum Kachwele, amelithibitishia MTANZANIA Jumamosi kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mbunge Kawawa alikutana na zahama hiyo wakati akijiandaa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa...