Mkutano wa vyama vinavyounda UKAWA Wawi, Chakechake Pemba
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi CUF Mhe: Maalim Seif Sharif Hamad akivishwa koja, kabla ya kuzungumza na mamia ya wanachama wa vyama vinavyounda UKAWA, uliofanyika Ditia Jimbo la Wawi wilaya ya Chake chake Pemba.
MJUMBE wa baraza kuu taifa la chama cha CHADEMA Janeth Madadi Fussi, akitoa salamu zake kwa mamia ya wanachama wa vyama vinavyounda UKAWA, kwenye mkutano uliofanyika Ditia, Jimbo la Wawi wilaya ya Chake chake Pemba, na kuhutubiwa na mgombea urais wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s72-c/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA WAWI CUF VISIWANI PEMBA AJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s640/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pBr9sPRm5GA/Xl00-Q25lDI/AAAAAAALgcY/YSvBzKhnhGc9oFbBu18QoFJVaWXCJ6liQCLcBGAsYHQ/s640/5T7A1882AA-768x512.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa amepokea maombi ya Mbunge wa Jimbo la Wawi kwa tiketi ya CUF kuomba kujiunga na CCM.
Hatua hiyo imekuja baada ya Ndugu Ahmed Juma Ngwali kuusimamisha msafara wa Ndugu Polepole, kuomba kujiunga na CCM na kutangaza kujivua nafasi zake zote ndani ya Chama cha CUF.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7a8-clDw1U/Xl00-NbaaWI/AAAAAAALgcU/VVnlOq-3k4kJjAxu9CLvTV3tmSMgrUrYgCLcBGAsYHQ/s640/5T7A1682AAA-768x512.jpg)
9 years ago
VijimamboHafla ya kuwaaga wafanyakazi wastaafu wa ZSTC, Chakechake, Pemba
9 years ago
VijimamboUzinduzi wa Kampeni za CCM Uwanja wa Gombani ya Kale ChakeChake Pemba Dk Shein.
10 years ago
MichuziHanding Over Ceremony at Michakaini „A‟ Primary School in Chakechake Town, South Pemba Region
On 5th June, 2015, the handing-over ceremony for “The Project for Reconstruction of a Two-storey Classroom Block at Michakaini „A‟ Primary School in Chakechake Town, South Pemba Region (JFY2013)” was held at Michakaini A Primary School.
The Government of Japan, in...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H9q32HeoW4I/VSyuh7VgXOI/AAAAAAABryc/XhQWWNIDEcI/s72-c/20150412_093008.jpg)
VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAKUTANA KISIWANI PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-H9q32HeoW4I/VSyuh7VgXOI/AAAAAAABryc/XhQWWNIDEcI/s1600/20150412_093008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-olN7iKiXWcM/VSyuiamHg2I/AAAAAAABryg/CMdjB7UKy_w/s1600/20150412_094012.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YX9nmWsF3gw/VSyuib11SII/AAAAAAABryk/JLM0f07anLU/s1600/20150412_100159.jpg)
MWENYEKITI wa Chama cha AFP Taifa Said Soud...
11 years ago
MichuziUKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ryXr-MQRLrk/VF5IHal3_MI/AAAAAAAGwDQ/0r2x9O7yfj0/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Mkutano wa CCM kisiwani pemba
![](http://1.bp.blogspot.com/-ryXr-MQRLrk/VF5IHal3_MI/AAAAAAAGwDQ/0r2x9O7yfj0/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D1yEdUlwKRU/VF5IHTsGv5I/AAAAAAAGwDU/ZwSlxCpXG0w/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akionesha Katiba Iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba zungumza na wananchi na WanaCCM wa Mikoa ya Pemba katika Uwanja wa Gombani ya Kale Kisiwani Pemba leo.(Picha...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/DSC_0582.jpg)
MAGUFULI AENDESHA MKUTANO GOMBANI, PEMBA