Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hamad Rashid: Mbunge wa Jimbo la Wawi

Historia yake Hamad Rashid Mohammed ni Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwakilisha wananchi wa Jimbo la Wawi, Pemba. Alizaliwa Machi Mosi, 1950 huko Zanzibar na kusoma katika shule ya msingi ya wavulana ya Chake kati ya mwaka 1958 hadi 1967. Amesoma Sekondari (kidato cha kwanza hadi cha nne) kati ya mwaka 1968–1970 katika Shule ya Sekondari Chanjamjawiri huko huko Zanzibar (Mzunguko wa Kwanza).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO LA WAWI CUF VISIWANI PEMBA AJIUNGA NA CCM



Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa amepokea maombi ya Mbunge wa Jimbo la Wawi kwa tiketi ya CUF kuomba kujiunga na CCM.

Hatua hiyo imekuja baada ya Ndugu Ahmed Juma Ngwali kuusimamisha msafara wa Ndugu Polepole, kuomba kujiunga na CCM na kutangaza kujivua nafasi zake zote ndani ya Chama cha CUF.

 

10 years ago

Habarileo

Hamad Rashid kugombea urais Zanzibar

MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ametangaza kugombea urais wa Zanzibar huku akimtuhumu na kumkosoa Katibu Mkuu wa chama chake, Seif Sharif Hamad.

 

10 years ago

Mwananchi

ADC wapongeza uamuzi wa Hamad Rashid

Chama cha Aliance for Democratic Change (ADC), kimesema kimepokea kwa furaha kauli iliyotolewa na Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashidi Mohammed ya kutaka kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho na kusema kuwa ameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Hamad Rashid: Nitagombea urais 2015

Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed amesema anapanga kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani.

 

10 years ago

IPPmedia

Chairman of CA Committee Number Five Hamad Rashid


IPPmedia
Chairman of CA Committee Number Five Hamad Rashid
IPPmedia
A tug of war emerged in the ongoing Constituent Assembly (CA) here yesterday when some debaters suggested that Special Seat posts should remain as they are while others were of the view that the present arrangement should change as proposed in the ...
Voters 'cannot recall their MP'Daily News

all 2

 

9 years ago

Mwananchi

Miraj, Hamad Rashid wavurugana ADC

Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraj amemshushia tuhuma tatu mgombea urais wa chama hicho visiwani Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed, huku akisisitiza kuwa ili kukinusuru chama hicho ni lazima afukuzwe.

 

10 years ago

Daily News

Hamad Rashid quits CUF, joins ADC


Hamad Rashid quits CUF, joins ADC
Daily News
THE opposition Civic United Front (CUF) suspended Member of Parliament (MP) for Wawi constituency, Mr Hamad Rashid Mohamed, defected to the Alliance for Democratic Change (ADC) party and was given membership card number one. He used ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

ADC yajivunia Hamad Rashid kugombea urais

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimempongeza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed kwa kuonesha nia ya kugombea urais kwa chama hicho. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar...

 

10 years ago

Mwananchi

Hamad Rashid awa mwanachama namba moja ADC

Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed amejiunga rasmi na Chama cha Alliance for Democtratic Change (ADC) chenye wanachama wanaokaribia 450,000 lakini akakabidhiwa kadi namba moja aliyosema inampa tiketi ya kuwania urais kupitia chama hicho Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani