Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADC yajivunia Hamad Rashid kugombea urais

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimempongeza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed kwa kuonesha nia ya kugombea urais kwa chama hicho. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

ADC YAJIVUNIA HAMAD RASHID MOHAMMED KUGOMBEA URAIS 2015

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimempongeza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed kwa kuonesha nia ya kugombea urais kwa chama hicho. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama hicho, Said Miraji, alisema wamepokea kauli ya Mbunge huyo kwa furaha na watampa ushirikiano wote katika kuhakikisha kuwa ADC inafanya vizuri. Miraji, alisema Hamad ana uwezo mkubwa ikiwa ni pamoja na kuwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika serikali, hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe Hamad Rashid Zanzibar achukua Fomu ya Kugombea Urais kwa tiketi ya Chama cha ADC.

Aliyekuwa Wanachamna wa CUF na Mbunge wa jimbo la Wawi kisiwani Pemba, ambaye kwa sasa amehamia chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamed leo amechukuwa fomu ya kugombe urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC, kulia ni kamishna wa ADC kanda ya Pemba Saidi Seif akimkabidhi mgombe huyo FomuMGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamed katitaki akizungumza na wananchi na wanachama wa ADC mara baada ya kuchukuwa fomu ya Urasi huko katika ofisi za chama hicho Wawi kibegi...

 

9 years ago

Vijimambo

MH. HAMAD RASHID AFUNGUA KAMPENI ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CHAMA CHA ADC KISIWANI PEMBA

 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zake Sehemu ya umati wa wananchi ukimsikiliza  Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zakeSehemu ya umati wa wananchi...

 

9 years ago

Michuzi

Mh. Hamad Rashid afungua kampeni za urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC kisiwani pemba

 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zake Sehemu ya umati wa wananchi ukimsikiliza  Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zakeSehemu ya umati wa wananchi...

 

10 years ago

Habarileo

Hamad Rashid kugombea urais Zanzibar

MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ametangaza kugombea urais wa Zanzibar huku akimtuhumu na kumkosoa Katibu Mkuu wa chama chake, Seif Sharif Hamad.

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CHAMA CHA ADC, MH. HAMAD RASHID ACHUKUA FOMU ZEC

Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Mohammed akiwasili katika viwanja vya Afisi ya Tume ya Uchaguzi zilioko katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar kwa ajili ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar.Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Mohammed akiwasili katika viwanja vya Afisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar zilioko katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar kwa ajili ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar. akishindikizwa na Wanachama wa Chama chake cha ADC katika...

 

10 years ago

Mwananchi

ADC wapongeza uamuzi wa Hamad Rashid

Chama cha Aliance for Democratic Change (ADC), kimesema kimepokea kwa furaha kauli iliyotolewa na Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashidi Mohammed ya kutaka kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho na kusema kuwa ameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Miraj, Hamad Rashid wavurugana ADC

Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraj amemshushia tuhuma tatu mgombea urais wa chama hicho visiwani Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed, huku akisisitiza kuwa ili kukinusuru chama hicho ni lazima afukuzwe.

 

10 years ago

Daily News

Hamad Rashid quits CUF, joins ADC


Hamad Rashid quits CUF, joins ADC
Daily News
THE opposition Civic United Front (CUF) suspended Member of Parliament (MP) for Wawi constituency, Mr Hamad Rashid Mohamed, defected to the Alliance for Democratic Change (ADC) party and was given membership card number one. He used ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani