MBUNGE WA JIMBO LA OLE ATIMKIA CCM NA ZAIDI YA WANACHAMA 564 KUMFUATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hushKZw6ME8/Xl5-yEWaELI/AAAAAAACz_Q/TKA5Emz-qFIUgYYe4wJrYvJuZDqrCHCyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
Juma Hamad Omari ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ole, Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba kwa tiketi ya CUF ameomba kujiunga na CCM na kujivua vyeo vyake vyote ndani ya CUF.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mapinduzi-CCM, Mbunge huyo akiambatana na Wanachama wa CUF na ACT 564 amepokelewa na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A2733AA-768x512.jpg)
MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s640/5R7A2733AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/5R7A2801AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.
11 years ago
Michuzi03 Jun
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AVUNA WANACHAMA 167 KUTOKA UKAWA
9 years ago
StarTV09 Oct
Zaidi ya wanachama 900 wa CHADEMA wahamia CCM
Zaidi ya wanachama 900 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wengi wao wakiwa vijana wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza.
Maamuzi ya wanachama hao yametokana na kampeni za kunadi sera ya CCM zinazoendelea katika Jimbo hilo ambazo zinafanywa na mgombea ubunge na madiwani.
Mmoja kati ya vijana ambao wamekihama Chama cha CHADEMA na kujiunga na CCM, akielezea sababu za kukihama chama hicho katika mkutano wa kampeni ambao...
10 years ago
VijimamboAmini Salimini Ajinadi kwa Wanachama wa CCM Jimbo la Mkwajuni Unguja Wakati wa Uzinduzi wa Kampeni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s72-c/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA WAWI CUF VISIWANI PEMBA AJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfCSvBjOz7o/Xl00-TSTwAI/AAAAAAALgcc/pYrwQaJeVOsSH6T69UXEEMiAHx74i8PtACLcBGAsYHQ/s640/5T7A1682AAA-1-768x512.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pBr9sPRm5GA/Xl00-Q25lDI/AAAAAAALgcY/YSvBzKhnhGc9oFbBu18QoFJVaWXCJ6liQCLcBGAsYHQ/s640/5T7A1882AA-768x512.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa amepokea maombi ya Mbunge wa Jimbo la Wawi kwa tiketi ya CUF kuomba kujiunga na CCM.
Hatua hiyo imekuja baada ya Ndugu Ahmed Juma Ngwali kuusimamisha msafara wa Ndugu Polepole, kuomba kujiunga na CCM na kutangaza kujivua nafasi zake zote ndani ya Chama cha CUF.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7a8-clDw1U/Xl00-NbaaWI/AAAAAAALgcU/VVnlOq-3k4kJjAxu9CLvTV3tmSMgrUrYgCLcBGAsYHQ/s640/5T7A1682AAA-768x512.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini aendelea kutekeleza ilani ya CCM
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akiongea ofisini kwake wakati akikabidhi Vifaa mbalimbali kwa wananchi wa Jimbo la Morogoro Mjini Ikiwa ni Utekelezaji wa Ahadi zake alizotoa Kipindi Akiomba kura ya Kuwa Mbunge wa Jimbo Hilo Pamoja za Ahadi anazotoa kwenye Mfululizo wa Ziara zake anazofanya Mara kwa mara katika Kata Mbalimbali za Jimbo la Morogoro Mjini.
![IMG_0126](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_0126.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Azizi Abood akikabidhi Mboa kwa Viongozi wa Msikiti kwajili ya Kumalizia...