MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AVUNA WANACHAMA 167 KUTOKA UKAWA
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kulia akimsikiliza Aliyekuwa Mwenyekiti Baraza la Vijana la Chama cha wananchi CUF Wilaya ya Morogoro Ndugu Mariam Iswili aliyeamua Kurudisha Kadi ya Cuf na Kujiunga na Chama cha Mainduzi.Katika Tukio Hilo jumla ya wanacha 167 Kutoka Vyama vya CUF CHADEMA na NCCR MAGEUZI Walirudisha kadi zao na kusema vyama hivyo havina sera Mya zaidi ya Majungu na Maneno Mengi yasiyo na Tija kwa wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AFUNGA KAMBI YA UVCCM
9 years ago
StarTV11 Oct
Mgombea ccm avuna wanachama wa ukawa
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kupenya ngome ya UKAWA baada ya kuvuna wanachama kutoka matawi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kile cha wananchi (CUF), katika Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Jimbo la Ubungo ni ngome ya UKAWA, na linatetewa na CHADEMA ambacho kililitwaa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na pia kilishinda mitaa mingi ya jimbo hilo katika uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa.
CCM imepenya ngome hiyo ya UKAWA baada ya mgombea Ubunge wa chama...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini aendelea kutekeleza ilani ya CCM
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akiongea ofisini kwake wakati akikabidhi Vifaa mbalimbali kwa wananchi wa Jimbo la Morogoro Mjini Ikiwa ni Utekelezaji wa Ahadi zake alizotoa Kipindi Akiomba kura ya Kuwa Mbunge wa Jimbo Hilo Pamoja za Ahadi anazotoa kwenye Mfululizo wa Ziara zake anazofanya Mara kwa mara katika Kata Mbalimbali za Jimbo la Morogoro Mjini.
![IMG_0126](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_0126.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Azizi Abood akikabidhi Mboa kwa Viongozi wa Msikiti kwajili ya Kumalizia...
10 years ago
GPLMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AENDELEA KUTEKELEZA ILANI YA CCM
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Mbunge wa jimbo la Morogogo mjini Mh Abood amwaga misaada kata ya Bigwa Morogoro
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akijibu Hoja mbalimbali kuhusu kero zinazowakabili wakazi wa kata ya bigwa katika ziara yake ya kutembelea kata mbalimbali za jimbo la Morogoro Mjini.Mh Abood aliata nafasi ya kuongea na wakazi wa mitaa wa mitaa mbalimbali inayounda kata ya Bigwa.Mh Abood alijibu na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wakazi wa kata hiyo.Mbunge huyo alitoa majibu kuhusu kero ya umeme, maji ,barabara na nyinginezo.Pia Mh Abood alitoa misaada mbalimbali...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA MOROGORO AONGOZA MAMIA KUMZIKA MKE WA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Mkuu wa Mkoa Morogoro aongoza mamia kumzika Mke wa Mbunge a Jimbo la Morogoro Kusini
Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wa staafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa...
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini atekeleza ahadi yake ya kuiwezesha CCM wilaya ya Morogoro vijijini
Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) akikabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa ya kusaidia chama cha Mapinduzi kujitegemea kiuchumi. Mh Kalogeris amekabidhi pikipiki hizo akiwa na lengo kila kata kuwa na Pikipiki moja uwe mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa Pikipiki.Mh...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10