Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA JIMBO LA SIMANJIRO,OLE SENDEKA ALIVYOUNGURUMA MERERANI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka


IPPmedia
Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka
IPPmedia
Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has urged donors who fund different developmental projects in the district to disclose their sources of funding, in an effort to refrain from the use of 'dirty money'. The MP issued the directive at the weekend during the ...

 

9 years ago

IPPmedia

Ole Sendeka fails to retain his Simanjiro parliamentary seat


IPPmedia
Ole Sendeka fails to retain his Simanjiro parliamentary seat
IPPmedia
Christopher Ole Sendeka, CCM's maverick politician yesterday fell short of enough votes to retain his Simanjiro parliamentary seat after being defeated by Chadema's James Ole Millya. The same fate befell his younger brother Simleck Ole Sendeka who was ...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu Christopher Ole Sendeka

Unajivunia jambo gani kwenye kipindi chote cha utawala wako tangu ulipochaguliwa mwaka 2005 hadi mwaka huu?

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE WA JIMBO LA OLE ATIMKIA CCM NA ZAIDI YA WANACHAMA 564 KUMFUATA

  Juma Hamad Omari  ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ole, Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba kwa tiketi ya CUF ameomba kujiunga na CCM na kujivua vyeo vyake vyote ndani ya CUF.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mapinduzi-CCM, Mbunge huyo akiambatana na Wanachama wa CUF na ACT 564 amepokelewa na   Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM


Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.

 

9 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendeleza gharika ndani ya mji wa Mererani, Simanjiro mkoani Manyara

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Mererani, katika Mkutano wa Kampeni zake, uliofanyika kwenye uwanja wa Machinjioni, Simanjiro Mkoani Manyara jana Septemba 25, 2015.

Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara wakionyesha furaha yao mbele ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AUNGURUMA ORKESUMENT SIMANJIRO, LEO KUPASUA MERERANI

Wananchi wa Kijiji cha Kitwai A wakiwa wamenyoosha mikono juu,kwenye mkutano wa hadhara,wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akimuunga mkono jambo Mbunge wa jimbo la Simanjiro,Mh Christopher Ole Sendeka,katika suala zima la Utekelezaji wa Ilani ya CCM.
Pichani mbele ye bango kulia ni jengo la Mama na Mtoto la kituo cha Afya Orkesument,Wilayani Simanjiro,ambalo pia Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alikagua na kujionea ujenzi wake. Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana...

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk.Nagu, Ole Sendeka lawamani

HALI ya hewa kisiasa imechafuka Babati, Manyara.

Paul Sarwatt

 

11 years ago

Mwananchi

SMZ yapinga kauli ya Ole Sendeka

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imekataa pendekezo la Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (CCM) aliyetaka Hati ya Muungano iendelee kuwa siri na kuweka bayana kuwa nyaraka hiyo iko wazi kwa mtu yoyote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani