Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa Mbunge wangu Christopher Ole Sendeka

Unajivunia jambo gani kwenye kipindi chote cha utawala wako tangu ulipochaguliwa mwaka 2005 hadi mwaka huu?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi

Lini Jiji la Mbeya litapata barabara za njia mbili kupunguza msongamano?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mustapha Akunaay

Tangu niwe Mbunge wananchi wa jimbo la Mbulu wamejua haki zao za kikatiba na wamekuwa jasiri kutetea na kudai haki hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Silvestry Koka

Uliahidi kutoa pikipiki moja kwa kila kata kwa vijana wa jimbo lako iwe mbegu ya kupata pikipiki nyingine, lakini mpaka sasa hujatekeleza, una mpango gani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Dk Faustine Ndugulile

Kwa nini hutembelei baadhi ya maeneo hasa nje ya Tandika, Temeke na Buza naomba ututembelee usisubiri hadi uchaguzi ufike kwani huku maeneo ya Kurasini kuna kero nyingi tunahitaji kukuona siyo hadi wakati wa kampeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mathias Chikawe

Umefanya mambo gani katika kuinua sekta ya elimu tangu uingie madarakani 2005 hadi sasa? Jibu: Wakati naingia madarakani mwaka 2005 shule za sekondari zilikuwa sita lakini sasa zipo 19. Nimejenga bweni moja shule maalumu ya wasichana wanalala wanafunzi 45.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri

uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu Aliko Kibona

Wewe na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kampeni za 2010 mliahidi kujenga barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole, lakini hivi sasa hakuna dalili wala maelezo kwa nini jambo hilo halijatekelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani