ALIYEKUWA MENEJA KAMPENI WA MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS CHADEMA ATIMKIA CCM
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati nyingi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
11 years ago
Habarileo12 Jun
Mwenyekiti Chadema atimkia CCM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mbinga, Desderius Haule amekihama chama hicho na kujiunga na CCM.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200530-WA0046.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA SINGIDA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0046.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe (kulia) akimkabidhi kadi ya CCM, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Shabani Limu baada ya kujiunga na chama hicho mwishoni mwa wiki.
![](https://1.bp.blogspot.com/-xixi-Vm3Wbw/XtNmL6PKFjI/AAAAAAAAMas/MdyDR3w5kc0Nj09IGMgkoKJ1iHZDyaZjgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0043.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe, akionesha kadi ya Chadema baada ya kukabidhiwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5OrGuIheAIg/XtNmL-kBmXI/AAAAAAAAMaw/moLyiaV_kgIERMjqKT91RTjxYuFcK1R1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0047.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka CHADEMA na kuhamia CCM leo February 18, 2020 na kupokelewa na Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
“Baada ya kutafakari mwenendo mzima wa siasa na uchumi nchini na kuangalia kina nani wako tayari nikaona kwa upande wetu Chadema bado tuko mbali sana kuchochea mambo haya ya maendeleo,”- Amesema Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent MashinjiAliyekuwa Katibu Mkuu...
5 years ago
MichuziAliyewahi kuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Njombe atimkia CCM
Aliyewahi kuwa katibu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Njombe aliyepokelewa nafasi hiyo kwenye chaguzi za ndani za chama hicho mwaka 2019 Ndugu Alatanga Nyagawa,Leo ametangaza kukihama chama hicho na kurejea CCM kwa madai ya kukosekana kwa ajenda ndani ya upinzani.
Vile vile Alatanga amesema hakuna ubishi kwamba Serikali ya awamu ya Tano imepiga hatua kubwa katika shughuli za maendeleo na upinzani umekosa ajenda.
Alatanga ambaye aliwahi...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NzZAqH60XTQ/VikUbPpc8II/AAAAAAABiy0/u_AZ-wcIw90/s72-c/DUA.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA AENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NzZAqH60XTQ/VikUbPpc8II/AAAAAAABiy0/u_AZ-wcIw90/s640/DUA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TH8p6JAjcaw/VikUcy_Ut9I/AAAAAAABizM/QwACz_iVyoQ/s640/MAKAMU%2BMOSHI.jpg)
9 years ago
MichuziMIKUTANO YA KAMPENI YA MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA KISARAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-AbmsYpxo5b4/VepItJAxLsI/AAAAAAABgFQ/Jgefb4QeSuA/s640/kingwendu.jpg)