Nyumba ya serikali yagawa familia
NI miaka nane sasa tangu Mahakama ya Mwanzo ya Iyunga jijini Mbeya ilipoamua kuvunja ndoa ya Simbonea Kileo na Gladness Kimaro. Kuvunjwa kwa ndoa hiyo kumeigawa zaidi familia hiyo baada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTmgL*y*IpkCjYtlJMqwhmytITDTa-vsON*6IUHjH9R-nRqM-n6CQbQqdf4Z0V36*quC8JZfMoa-kkRIkeTeCD9/8.jpg?width=650)
FAMILIA DAR YAVUNJIWA NYUMBA USIKU!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
Familia Arumeru yatolewa vitu nje na kuvunjiwa nyumba!
10 years ago
Vijimambo22 Mar
NYUMBA YA UNGUA MOTO NA KUUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA BROOKLYN. NY
![](http://ecx.images-amazon.com/images/I/41CeHuhTi3L._SX425_.jpg)
Chombo hiki ndiyo kilichosababisha nyumba kuungua moto na kuua watoto 7 Brooklyn New York watoto wa kike wa 3 na wakiume wa 4 wote ni wa familia moja wakiwa wame lala usiku na chombo hiki kukiacha kikiwa na moto baada ya kusahau kukizima. Chombo hiki utumiwa na Wajewish wakati wa kipindi cha Sabbath yani kama kwarezma kwa wakristo.
![](http://i.ytimg.com/vi/q4FGuLQDV_c/0.jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi
Mazungumzo yake na Azam Tv Yaliyorushwa Leo Asubuhi akihojiwas na Tido Mhando Tuesday, September 8, 2015 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake […]
The post Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SOrIQsJAbHA/UwWcr2OUN6I/AAAAAAAFOMo/OWQlg-kSv_I/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Familia yaishi chooni ni baada ya nyumba yao kuezuliwa na upepo wilayani Hai, Kilimanjaro
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOrIQsJAbHA/UwWcr2OUN6I/AAAAAAAFOMo/OWQlg-kSv_I/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VLQvuBEzzk0/UwWcuB1NhcI/AAAAAAAFONU/f1djxonSZQA/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9oVrkfSwMOc/UwWcr9dGyOI/AAAAAAAFOMs/8toypbl_z-g/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vTmOccjnXyE/UwWcsRbPtkI/AAAAAAAFOM0/s47sJ-CDGfc/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Marikana:Familia zaishtaki serikali