Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia Arumeru yatolewa vitu nje na kuvunjiwa nyumba!

patandi 2

Mkazi wa eneo la Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha,Janet Tinai akilalamika mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) akiwa na baadhi ya vyombo vyake  mara baada ya kuhamishwa kwa amri ya mahakama na kampuni ya Majembe Auction Mart juzi. (picha zote na Moses Mashalla). Na Mahmoud Ahmad [ARUMERU] Serikali imeombwa kuingilia kati sakata la familia ya Juma Isangu mkazi wa eneo la Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha kuondolewa na kisha kuvunjiwa nyumba waliyokuwa wakiishi kwa amri ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjane anayelalama kuvunjiwa nyumba

KUKITHIRI kwa vilio vya wajane na watoto yatima kumekuwa gumzo kila kona hapa nchini. Zainabu Sigu (51) ni miongoni mwa wajane ambao wamekuwa wakipambana ili kupata mali zao zilizoingia kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Amri ya kutotoka nje yatolewa Garissa

Serikali ya Kenya imetangaza amri ya kutotoka nje usiku kwa muda wa wiki mbili katika kaunti kadhaa kaskazini mashariki mwa Kenya.

 

9 years ago

Bongo5

Manchester United yatolewa nje UEFA

Football Soccer - VfL Wolfsburg v Manchester United - UEFA Champions League Group Stage - Group B - Volkswagen-Arena, Wolfsburg, Germany - 8/12/15
 Manchester United manager Louis van Gaal looks dejected
 Action Images via Reuters / Carl Recine
 Livepic
 EDITORIAL USE ONLY.

Manchester United jana Disemba 8 imeiaga rasmi michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kupata kipigo cha magoli 3-2 na Wolfsburg ya Ujerumani kwenye mchezo wa mwisho wa kundi B uliokuwa unaamua timu gani zitasonga mbele kwenye hatua ya mtoano kati ya timu tatu zilizokuwa na nafasi ya kusonga mbele kwenye hatua hiyo.

Football Soccer - VfL Wolfsburg v Manchester United - UEFA Champions League Group Stage - Group B - Volkswagen-Arena, Wolfsburg, Germany - 8/12/15 Manchester United manager Louis van Gaal looks dejected Action Images via Reuters / Carl Recine Livepic EDITORIAL USE ONLY.

United, Wolfsburg na PSV zote zilikuwa na nafasi ya kufuzu kwenda kwenye hatua ya 16 bora lakini United imejikuta ikishindwa kusonga mbele.

united-1

Anthony Martial alianza kuifungia...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI IMEOMBWA KUINGILIA KATI SAKATA LA FAMILIA YA JUMA ISANGU, ARUMERU

 Mkazi wa eneo la Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha, Juma Isangu akiwa na mkewe Janet Tinai pamoja na mwanao, Issa Juma (katikati) wakiangalia nyaraka mbalimbali nje ya nyumba yao mara baada ya kufukuzwa na kisha kuvunjiwa nyumba yao wilayani humo na kampuni ya Majembe Auction Mart kwa amri ya mahakama.Mkazi wa eneo la Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha, Janet Tinai akilalamika mbele ya waandishi wa habari akiwa na baadhi ya vyombo vyake  mara baada ya kuhamishwa kwa amri ya mahakama...

 

10 years ago

Vijimambo

MPANGAJI WA NHC MBEYA ATUPIWA VITU NJE

Madalali wa mahakama wakitoa vitu nje kwenye moja ya  wapangaji wa shirika la nyumba la Taifa (NHC)jijini Mbeya .ambao wamekuwa wakidaiwa na shirika hilo (Picha na David Nyembe)Baadhi ya wananchi wakishangaa zoezi la utoaji wa vitu nje kwa mpangaji wa NHC ambaye amekuwa akidaiwa muda mrefu na shirika hilo.

 

9 years ago

Bongo5

Vitu gani wasanii wa nje wanavyoviangalia kabla ya kukubali kufanya collabo? — Shetta ana majibu

Collabo za kimataifa ni kitu muhimu kwa mwanamuziki yeyote mwenye malengo ya kujitangaza zaidi nje ya mipaka ya nyumbani. Japo sio kazi rahisi kwa msanii kupata collabo na wasanii wakubwa wa nje kama msanii huyo asipozingatia vitu muhimu. Moja ya faida za collabo ni pande zote mbili kupata mashabiki wapya kutoka kila upande wa wasanii […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumba ya serikali yagawa familia

NI miaka nane sasa tangu Mahakama ya Mwanzo ya Iyunga jijini Mbeya ilipoamua kuvunja ndoa ya Simbonea Kileo na Gladness Kimaro. Kuvunjwa kwa ndoa hiyo kumeigawa zaidi familia hiyo baada...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YALA KRISMASI NJE!

Familia hiyo ikiwa nje baada ya nyumba yao kuvunjwa. Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Familia moja yenye makazi yake Mtaa wa Mwembe-Madafu, Ukonga jijini Dar, imejikuta ikila Sikukuu ya Krismasi na kulala nje kwa madai kwamba nyumba yao imevunjwa na baada ya kuuzwa kwa mtu mwingine na mwanafamilia anayetajwa kwa jina la Omary Hamisi ambaye ni mtoto mkubwa wa familia hiyo. Akizungumza kwa masikitiko makubwa mbele ya...

 

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani