AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe
9 years ago
Habarileo20 Aug
Kikwete aeleza ndoto yake baada ya urais
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza ndoto yake baada ya muda wake wa urais kumalizika, kuwa ataanzisha taasisi ya maendeleo, itakayosimamia midahalo, semina na kongamano kwa maendeleo ya taifa.
9 years ago
Bongo511 Nov
Ray C aomba msamaha baada ya video yake akiwa mtupu kupostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram
![Ray new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Ray-new-300x194.jpg)
Siku ya jana Nov.10 kuna video mbaya ya mwanadada Rehema Chalamila maarufu kama Ray C akiwa mtupu akikata mauno zilipostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram (@rayc1982) na muda mfupi baadaye kufutwa.
Akizungumza na U Heard ya Clouds Fm leo, Ray C amekiri kuwa ni kweli aliyeonekana kwenye video hiyo ni yeye.
“Ndio ni kweli video hiyo ilipostiwa kwenye akaunti yangu ila sio mimi niliyeipost.” Alisema Ray C.
Ray C aliongeza kuwa video hiyo alirekodiwa na mpenzi wake kwaajili ya matumizi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
10 years ago
Bongo526 Oct
Drake aachia nyimbo 3 mpya siku moja baada ya Bday yake (Audio)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s72-c/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
EDMUND RUTARAKA AELEZEA MATARAJIO YAKE YA UBUNGE MOSHI MJINI NI BAADA YA KUCHUKUA FOMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s640/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Apr
BAADA YA BEKI WA PSG DAVID LUIZ KUPIGWA MATOBO JANA NA SUAREZ HIKI NDICHO KINACHOENDELEA JUU YAKE.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA69200000578-0-image-a-10_1429177156301.jpg)
Standing tall or rooted to the ground? This web jokester likens Luiz to Paris's famous Eiffel Tower
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA69A00000578-0-image-a-11_1429177160312.jpg)
This is just nuts! Luiz holds a superimposed jar of Nutella in front of a Parisian skyline in another meme
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA6AE00000578-0-image-a-12_1429177163768.jpg)
Luiz is spared in this one as the PSG badge takes centre stage
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA69E00000578-0-image-a-13_1429177169149.jpg)
Familiar faces went head-to-head as ex-Chelsea defender Luiz met ex-Liverpool star Suarez - Keanu Reeves' Neo from the Matrix films had the words - in French no less - to say it all
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake