Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake
Mkufunzi wa timu ya liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa anakabiliwa na tishio la kufutwa kutokana na msururu wa matokeo mabaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
EPL:Meneja wa WBA ahofia hatma yake
Kocha wa West Bromwich Albion Alan Irvine anahofia hatma yake katika kilabu hiyo baada ya kichapo cha mabao 3-1
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Kocha wa Barcelona hajui hatma yake
Kocha wa Barcelona Luis Enrique amekataa kuzungumzia kuhusu hatma yake ama kuthibitisha iwapo atasalia katika timu hiyo msimu ujao licha ya yeye kushinda mataji matatu na klabu hiyo.
9 years ago
VijimamboAUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Oscar Pistorius kujua hatma yake
Mahakama nchini Afrika Kusini leo itatoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha mlemavu wa Oscar Pistorius
10 years ago
GPLPISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake leo. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake . Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita. Mwanariadha wa Afrika Kusini… ...
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe
Mkufunzi wa Brazil Luiz Felipe Scolari amesema ataamua mustakabali wake baada ya fainali ya kombe
10 years ago
Habarileo28 Sep
'Wabunge ifikirieni nchi yenu na hatma yake'
MJADALA wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, umehitimishwa jana kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, kuruhusu wajumbe wazee watoe neno la maridhiano.
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Liverpool kupata kocha mpya?
Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Jurgen Klopp.
9 years ago
Bongo505 Oct
Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers
Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu. Uamuzi huo wa kumfuta kazi Rodgers ulikuwa umefanyika hata kabla ya mchezo ulioisha kwa suluhu dhidi ya Everton ambao uliwafanya Liverpool wabaki katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi ya England. ”Licha ya kuwa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania